CCM yaanza mchakato wa kusaka wenye sifa za kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Muonekano wa jengo la Ofisi ndogo ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam.
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kinatangaza Ratiba ya Uchukuaji Fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Uspika na Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa wana-CCM wote wenye sifa husika.
Ratiba ya mchakato huo ni kama ifuatavyo;-Wana-CCM wasio Wabunge wanaoomba ridhaa ya CCM kugombea Uspika wanatakiwa kuchukua fomu kuanzia Novemba 11, 2015 saa Sita Kamili mchana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog18 Nov
Dk. Tulia Mwansasu achaguliwa kugombea Unaibu Spika wa Bunge la Jamhuri la Muungano wa Tanzania!
Wabunge wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wamchagua Dk. Tulia Ackson Mwansasu kugombea nafasi ya Unaibu Spika wa 11 wa Bunge la Jamhur la Muungano wa Tanzania.
Kwa mujibu wa Katibu Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye ambaye pia ni Mbunge wa Mtama amebainisha kuwa, Dk. Tulia amepata nafasi hiyo baada ya wagombea wengine wawili kujitoa hivyo kupita bila kupingwa.
Wagombea waliokuwa wakigombea nafasi hiyo ndani ya CCM ni pamoja na Mhe. Mariam Kisangi pamoja na Bahati Abeid.
9 years ago
Dewji Blog16 Nov
Chief Yemba wa ADC atangaza kugombea kiti cha Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania !
Chief Yemba
Na Mahmoud Ahmad
[TANZANIA]
Kutoka jiji la Arusha, aliyekuwa mgombea urais wa jamuhuri ya muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADC, Chief Lutayosa Yemba (Pichani) ametangaza kugombea kiti cha Spika wa bunge la jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia chama cha ADC.
Chief Yemba, ameyasema hayo leo jijini Arusha, alipokuwa akizungumza na vyombo vya habari akitoa tathimini ya uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 25 mwaka huu, pamoja na kutathimini uchaguzi wa jimbo la Arusha ambao...
9 years ago
Dewji Blog13 Nov
Mh. Anne Makinda kutogembea Uspika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda akiongea na waandishi wa habari kuhusu tamko la kutogombea Uspika Msimu huu hawapo pichani katika mkutano wake uliofanyika leo jijini Dar es salaam.
Waandishi wa habari wakifatilia kwa makini maelezo anayotoa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda hayupo pichani alipotoa tamko la kutogombea tena Uspika wa Bunge msimu huu.
Spika wa bunge la Jamhuri wa Muungano wa Tanzania Mh. Anna Makinda...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s72-c/IMG_4147.jpg)
SITOGOMBEA NAFASI YA USPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA-ANNE MAKINDA
![](http://2.bp.blogspot.com/-aRzRwGR9Tn8/VkWsK-Ey-sI/AAAAAAAIFo8/RT45NrrSYhw/s640/IMG_4147.jpg)
ALIYEKUWA Spika wa Bunge la Jamhuri ya Mungano wa Tanzania, Anne Makinda amejing'atua rasmi na kuachana na uongozi katika siasa kutokana na kufanya kazi za Siasa kwa miaka 40.
ameyasema hayo alipokua akizungumza na waandishi wa habari katika ofisi ndogo za Bunge jijini Dar es...
9 years ago
Dewji Blog17 Nov
JOB NGUGAI achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la 11 la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania!
Pichani ni Mh. job Ndugai akiwa katika bunge la awali la 10, ambapo alikuwa ni Kaimu Spika wa Bunge hilo. Leo Novemba 17, ameweza kunyakua kiti hicho na kuwa Spika wa Bunge la 11, baada ya kupata ushindi wa kula 254, dhidi ya mpinzani wake, kutoka UKAWA. (Picha ya maktba yetu).
[DODOMA-TANZANIA] Nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hatimaye imechukuliwa na Mh. Job Yustino Ndugai wa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa kuchaguliwa kwa kura 254 sawa na asilimia 70% ya kura...
9 years ago
CCM Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s72-c/8.jpg)
DK TULIA ACKSON NDIE NAIBU SPIKA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://4.bp.blogspot.com/-BQPnm_uaSUk/Vk2k5IOHVzI/AAAAAAAArj8/lp66BPbPHvE/s640/8.jpg)
Idadi ya Wabunge inayotakiwa ni 394, waliosajiliwa 369, akidi ni 184 na waliohudhuria ni 351 na hakukuwa na kura iliyoharibika.
9 years ago
Dewji Blog19 Nov
Tayari Waziri Mkuu wa na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepatikana!
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu (Naibu Spika wa Bunge 2015-2020).
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
Kassim Majaliwa (Waziri Mkuu mpya wa Tanzania 2015-2020)
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, muda mfupi uliopita limepitisha jina la Mbunge wa Jimbo la Rwangwa, Mh. Kassim Majaliwa kuwa Waziri Mkuu...
9 years ago
Dewji Blog20 Nov
Tayari Waziri Mkuu na Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamepatikana!
Dkt. Tulia Ackson Mwansasu (Naibu Spika wa Bunge 2015-2020).
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, limempitisha Dkt. Tulia Ackson Mwansasu kuwa Naibu Spika wa Bunge, kwa kuta 250 sawa na 71.2% dhidi ya mpinzani wake, Mh. Magdalena Sakaya aliepata kura 101 sawa na 28.8%.
[DODOMA].
Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Mhe.Dkt. Tulia Akson kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 baada ya kumshinda mpinzani wake kutoka Chama cha...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s72-c/NaibuSpikaNdundai.jpg)
BREAKING NYUZZZ.......: JOB NDUGAI NDIYE SPIKA MPYA WA BUNGE LA 11 LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Y-LJTY2gBB0/Vkr8v6jnujI/AAAAAAAIGXM/Cw_-L8a8wgY/s640/NaibuSpikaNdundai.jpg)
Hata hivyo wagombea hao ambao walikuwa 7 kati ya 8 wameweza kutoa shukrani na pongezi kwa Ndugai wakisema anastahili na ndio maana akachaguliwa na kumtaka aongoze vyema bunge hilo.
Job Ndugai ameibuka mshindi wa kiti cha Spika wa Bunge la...