MWANASHERIA MKUU AMTEMBELEA SPIKA MAKINDA OFISI NDOGO ZA BUNGE JIJINI DAR
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Anne Makinda akimkaribisha ofisini kwake Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju wakati alipofanya ziara fupi ya kubadilishana mawazo hii leo.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali George Masaju akitia saini kwenye kitabu cha wageni wa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kabla ya kuanza kubadilshana mawazo. Ziara hiyo fupi imefanyika ofisi ndogo za bunge Dar-es-salaam.
Mwanasheria Mkuu wa Serikali Ndugu George Masaju...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi07 Mar
Spika Makinda, Wenyeviti wa Bunge Watembelea Miradi ya NSSF Dar


11 years ago
MichuziSpika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo
10 years ago
Michuzi
Rais Kikwete akutana na Spika na Naibu Spika wa Bunge la Burundi ikulu jijini Dar es salaam



11 years ago
Michuzi.jpg)
SPIKA WA BUNGE ANNE MAKINDA KUFUNGUA SEMINA YA 24 YA CHAMA CHA MABUNGE WANACHAMA WA JUMUIYA YA MADOLA (CPA) KESHO, DAR ES SALAAM,
10 years ago
MichuziMakamu wa Rais wa JICA amtembelea Waziri wa Ujenzi Ofisi kwake Jijini Dar es Salaam
10 years ago
MichuziSPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO
10 years ago
Mwananchi27 Apr
Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge
11 years ago
Uhuru Newspaper
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.

11 years ago
Michuzi.jpg)
Kila la Kheri Spika Makinda, Urais Bunge la SADC
.jpg)
Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiteta jambo na Spika wa Bunge la Afrika Kusini Mhe. Baleka Mbete kabla ya kuanza kwa kikao cha Mkutano wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi wanachama wa SADC jana mjini Victoria Zimbabwe. Uchaguzi wa Rais wa Jukwaa hilo unafanyika leo ambapo Spika Makinda anaungwa Mkono na Nchi nyingi za SADC .
Kwa habari kamili BOFYA HAPA
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10