Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC


Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.

Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
“Lakini jambo kubwa ni kwamba ukanda huu umetengeneza bunge lenye uwezo wa kutunga sheria,...

Uhuru Newspaper

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Spika wa Bunge la Uholanzi na ujumbe wake wamtembelea Spika Makinda leo

Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimkaribisha Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) alipofika Ofisini kwake leo kwa ziara ya kikazi. Wengine ni baadhi ya Wabunge kutoka Bunge la Uholanzi alioambatana nao. Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiwa katika mazungumzo Ofisni kwake na Spika wa Bunge la Uholanzi Mhe. Anouchka Van Miltenburg (mwenye koti jeupe) pamoja na ujumbe wa wabunge wanane kutoka Bunge la uholanzi ambao wapo nchini kwa ziara ya kikazi.

 

9 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE MHE. ANNE MAKINDA AKUTANA NA UJUMBE KUTOKA TUME YA UTUMISHI YA BUNGE LA NIGERIA OFISINI KWAKE LEO

 Spika wa Bunge ambaye pia ni Mwenyekiti wa Tume  ya Utumishi ya Bunge la Tanzania Mhe. Anne Makinda akiongea na  Ujumbe wa Tume ya Utumishi kutoka Bunge la Nigeria walipomtembelea leo Ofisini kwake jijini Dar es Salaam. Ujumbe huo upo nchini kwa lengo la kujifunza masuala mbalimbali ya Utumishi na Uendeshaji wa Bunge ambapo Mhe. Makinda aliambatana na wajumbe wa Tume ya Bunge la Tanzania. Kulia kwake ni Kiongozi wa Msafara wa Tume hiyo Mhe. Yepwi Stephen Dako. Bunge la Tanzania leo kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Anne Semamba Makinda Spika wa Bunge

Anne Semamba Makinda alizaliwa Julai 26,1949 mkoani Njombe, zamani sehemu ya Iringa (atafikisha miaka 66, Julai mwaka huu).

 

10 years ago

Michuzi

SPIKA WA BUNGE AKUTANA NA Makamu Mwenyekiti ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya

Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akimkaribisha Makamu Mwenyekiti  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya Mhe. Chris Nakulelu kabla ya kufanya nao mazungumzo katika ukumbi wa mkutano wa Spika.Mhe.Nakululu alikuwa kiongozi wa msafara huo.Spika wa Bunge Mhe.Anna Makinda akifurahi jambo na Makamu Mwenyekiti  ya Ushirikiano wa Afrika Mashariki wa Bunge la Kenya Mhe. Chris Nakulelu wakati wa mazungumzo yao katika ukumbi wa mkutano wa Spika.Spika wa Bunge Mhe. Anna Makinda akiwa katika...

 

10 years ago

Mwananchi

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha Bunge

Vuta nikuvute bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge kwa muda, wabunge wapiga kelele

 

10 years ago

Michuzi

Kila la Kheri Spika Makinda, Urais Bunge la SADC


Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiteta jambo na Spika wa Bunge la Afrika Kusini Mhe. Baleka Mbete kabla ya kuanza kwa kikao cha Mkutano wa Jukwaa la Mabunge ya Nchi wanachama wa SADC jana mjini Victoria Zimbabwe. Uchaguzi wa Rais wa Jukwaa hilo unafanyika leo ambapo Spika Makinda anaungwa Mkono na Nchi nyingi za SADC .
Kwa habari kamili BOFYA HAPA

 

10 years ago

Vijimambo

SPIKA WA BUNGE MH. ANNE MAKINDA ZIARANI NCHINA CHINA


 Spika akiwa katika ziara ya maeneo kadhaa ya kiteknolojia katika kampuni ya Huawei.Spika yuko nchini China kwa ziara ya namba ya kulifanya Bunge la Tanzania kuendeshwa kiteknolojia zaidi  Mtaalam wa kampuni ya Huawei akitoa maelezo ya masuluhisho kadhaa ya Bunge Mtandao (e-parliament solutions) kwa Mhe Spika na ujumbe wake. Mhe Spika Anne Makinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Kampuni ya  Huawei, Li Dafeng kuhusu mambo kadhaa ya kiteknolojia ya Kibunge ambayo hufanywa na kampuni hiyo...

 

10 years ago

Michuzi

Spika Makinda apigiwa chapuo Urais Bunge la SADC


 Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akiongea na mjumbe wa Kamati ya Utendaji ya Bunge la SADC Mhe. Sylvianne Valmont kutoka Bunge la Ushelisheli  alipokutana nae wakati wa Mkutano wa 36 wa Umoja huo unaoendelea Mjini Victoria Falls Zimbabwe. Makinda anagombea nafasi ya Urais wa Chama hicho. Kati  ni Balozi wa Tanzania Nchini Zimbabwe Mhe. Adadi Rajabu.Spika wa Bunge Mhe. Anne Makinda akimsikiliza  akiwa katika mazungumzo na Mjumbe kutoka Bunge la Swaziland Mhe. Sikhumbazo Ndlovu kuhusu nia...

 

10 years ago

Vijimambo

Vuta nikuvute Bungeni, Spika Makinda ahairisha bunge

Spika wa Bunge Anna Makinda amelazimika kuahirisha kikao cha Bunge kilichoanza jana, baada ya vuta nikuvute iliyotokea  baada ya kutolewa kwa hoja binafsi kutoka kwa Mbunge na Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia kuhusu jeshi la polisi kumshambulia Profesa Ibrahimu Lipumba jana akiwa kwenye maandamano .Akizungumza katika bunge hilo Mbatia amesema kuwa kitendo cha polisi cha kuwapiga raia wasiokuwa na hatia, kuwazalilisha waandishi wa habari na kupiga mabomu ya machozi kiasi cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani