Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko

Kwa mara nyingine, hoja ya kumng’oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Nantongo Zziwa imekwamisha shughuli za bunge hilo huku bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), iliyopaswa kusomwa Alhamisi ya Mei 29, ikikwama.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Raia Mwema

Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!

TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu la Katiba tulitafakari upya

APRILI 25 mwaka huu, Bunge Maalumu la Katiba lilihairishwa rasmi hadi mwezi Agosti kupisha Bunge la bajeti lililoanza jana. Bunge hilo lilihairishwa likiwa limetumia siku 67 kati ya 90 wanazopashwa...

 

11 years ago

Mwananchi

Hillary: Wajumbe Bunge la Katiba tujiangalie upya

>Bunge Maalumu la Katiba limesitishwa kwa muda ili kupisha Bunge la Bajeti ambalo limeanza jana mjini Dodoma.

 

11 years ago

GPL

KITUKO!

Na Issa Mnally
AMA kweli dunia uwanja wa fujo! Mrembo aliyetajwa kwa jina la Baby amefanya kituko cha aina yake kwa kusaula nguo mbele ya hadhara baada ya shemeji yake maarufu kwa jina la Baba K kufumaniwa.

FUMANIZI LAIVU
Tukio hilo la aina yake lililovuta wengi lilijiri kwenye gesti moja (jina tunalo), maeneo ya Temeke jijini Dar hivi karibuni baada ya jamaa mmoja kumwekea mtego rafiki yake aliyekuwa akimtongoza mkewe na...

 

11 years ago

Habarileo

Bunge EAC lavurugika

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Margareth ZziwaBUNGE la Afrika Mashariki (EALA), limeahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kutawaliwa malumbano jana juu ya suala zima la kumng’oa Spika.

 

10 years ago

Mwananchi

Bunge la EAC lavunjika Dar

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) jana lilivunjika kutokana na kutotimia kwa akidi ya wajumbe kutoka Rwanda na Burundi.

 

11 years ago

Mwananchi

Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika

Kwa muda mrefu sasa, Bunge la Afrika Mashariki limekuwa katika mizozo isiyoisha kiasi cha wananchi wengi katika nchi wanachama kuhofia kwamba Bunge hilo linaweza kusambaratika

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge la EAC kuanza kesho Dar

Bunge

Bunge

NA SHABANI MATUTU

BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.

“Ripoti hizo ni Kamati ya...

 

10 years ago

GPL

RIHANNA AONYESHA KITUKO

Mwanadada mrembo mwimbaji wa RnB, Rihanna. New York, Marekani
MWANADADA mrembo mwimbaji wa RnB, Rihanna, 27,juzikati alitokelezea akiwa amevaa shati kubwa na kuonekana kituko kwa watu wengi. Mbaya zaidi, demu huyo asiyeishiwa na vituko, alikuwa amefungua vishikizo karibu vyote vya shati hilo huku akiwa hajavaa blazia, hatua ambayo ilisababisha sehemu ya matiti yake kuonekana. Kingine ni kwamba nguo hiyo ni ya kiume lakini...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani