Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bunge la EAC lavunjika Dar

Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) jana lilivunjika kutokana na kutotimia kwa akidi ya wajumbe kutoka Rwanda na Burundi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge lavunjika

BUNGE Maalum la Katiba, limevunjika ghafla baada ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kukataa kuwasikiliza wajumbe waliokuwa wakimlalamikia  kuvunja kanuni kwa kumruhusu Mwenyekiti wa Tume Maalum ya Katiba, Jaji...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge la Afrika Mashariki lavunjika

 Bunge la Afrika Mashariki (Eala) limeanza kuonekana kufanana na Bunge la Katiba linaloendelea mjini Dodoma.

 

10 years ago

Mtanzania

Bunge la EAC kuanza kesho Dar

Bunge

Bunge

NA SHABANI MATUTU

BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.

Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.

“Ripoti hizo ni Kamati ya...

 

11 years ago

GPL

PAMBANO LA NYIRAWILA NA MBELWA LAVUNJIKA RAUNDI YA 8

Karama Nyirawila (kushoto) akimpelekea konde Mbelwa. ...Wakiviziana. Mbelwa akiwa chini baada ya kusukumiwa…

 

11 years ago

Habarileo

Bunge EAC lavurugika

Spika wa Bunge la Afrika Mashariki, Dk Margareth ZziwaBUNGE la Afrika Mashariki (EALA), limeahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kutawaliwa malumbano jana juu ya suala zima la kumng’oa Spika.

 

9 years ago

GPL

PENZI LA LIL WAYNE, CHRISTINA LAVUNJIKA NUSU

Rapa Lil Wayne akiwa na aliyekuwa mpenzi wake Christina Milian. New York, Marekani SIKU chache baada ya kutangaza kuvunja uhusiano wa kimapenzi uliodumu kwa mwaka mmoja, imebainika kuwa rapa Lil Wayne na Christina Milian hawajatengana katika masuala ya kikazi. Taarifa kutoka kwa watu wa karibu wa wasanii hao, zimeeleza kuwa uhusiano huo ulivunjika wiki iliyopita lakini bado Christina ataendelea kuwa memba wa lebo ya… ...

 

11 years ago

Mwananchi

Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika

Kwa muda mrefu sasa, Bunge la Afrika Mashariki limekuwa katika mizozo isiyoisha kiasi cha wananchi wengi katika nchi wanachama kuhofia kwamba Bunge hilo linaweza kusambaratika

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko

Kwa mara nyingine, hoja ya kumng’oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Nantongo Zziwa imekwamisha shughuli za bunge hilo huku bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), iliyopaswa kusomwa Alhamisi ya Mei 29, ikikwama.

 

10 years ago

Uhuru Newspaper

Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC


Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.

Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
“Lakini jambo kubwa ni kwamba ukanda huu umetengeneza bunge lenye uwezo wa kutunga sheria,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani