Bunge la EAC lavunjika Dar
Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (Eala) jana lilivunjika kutokana na kutotimia kwa akidi ya wajumbe kutoka Rwanda na Burundi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Bunge lavunjika
BUNGE Maalum la Katiba, limevunjika ghafla baada ya Mwenyekiti wa Bunge hilo, Samuel Sitta kukataa kuwasikiliza wajumbe waliokuwa wakimlalamikia kuvunja kanuni kwa kumruhusu Mwenyekiti wa Tume Maalum ya Katiba, Jaji...
11 years ago
Mwananchi02 Apr
Bunge la Afrika Mashariki lavunjika
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la EAC kuanza kesho Dar
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA SHABANI MATUTU
BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.
“Ripoti hizo ni Kamati ya...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Xl3n4nptF*ovoxonpLcQcaTMVnQKY7RVh5QmqXqTSY8hmQj1oWTfXi2T4rVZHBtpVytiUVPFwGZFmWfDghInpul5XhbUjTQa/NDONDI1.jpg?width=650)
PAMBANO LA NYIRAWILA NA MBELWA LAVUNJIKA RAUNDI YA 8
11 years ago
Habarileo02 Apr
Bunge EAC lavurugika
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA), limeahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kutawaliwa malumbano jana juu ya suala zima la kumng’oa Spika.
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3oumJFYFk4rSks7*vCBJlIWAlneRKS2JmXx3F-wiMgVNnPp0L6uYqeuoQlRboaXxrMsWH-tuwdUu4sxwWDIIGfuWKoBO8TxQ/christinamilianperforminglilwayne2014amasshowssneakpeekrealityshow.jpg?width=650)
PENZI LA LIL WAYNE, CHRISTINA LAVUNJIKA NUSU
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)