Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika
Kwa muda mrefu sasa, Bunge la Afrika Mashariki limekuwa katika mizozo isiyoisha kiasi cha wananchi wengi katika nchi wanachama kuhofia kwamba Bunge hilo linaweza kusambaratika
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo13 Apr
Busara za Sitta zaokoa Bunge
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI-0GF0oeoxiBsDrlKE6MK3Zv75Uo8COm8DotBp658HD*Ov1YF6PqugA6N5O2gxJ6pP-94EpZbKjYY*Nl98c3IY/CHENGE.jpg?width=650)
BUSARA ZITUEPUSHE MGONGANO BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s72-c/unnamed+(84).jpg)
JUST IN: HALI YA HEWA KATIKA BUNGE LA KATIKA YATUAMA, MJADALA UNAENDELEA KWA BUSARA NA MAELEWANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s1600/unnamed+(84).jpg)
11 years ago
Habarileo02 Apr
Bunge EAC lavurugika
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA), limeahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kutawaliwa malumbano jana juu ya suala zima la kumng’oa Spika.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Bunge la EAC lavunjika Dar
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la EAC kuanza kesho Dar
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA SHABANI MATUTU
BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.
“Ripoti hizo ni Kamati ya...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)