Busara za Sitta zaokoa Bunge
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI-0GF0oeoxiBsDrlKE6MK3Zv75Uo8COm8DotBp658HD*Ov1YF6PqugA6N5O2gxJ6pP-94EpZbKjYY*Nl98c3IY/CHENGE.jpg?width=650)
BUSARA ZITUEPUSHE MGONGANO BUNGE LA KATIBA
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba
11 years ago
Habarileo13 Mar
Sitta na Bunge la Maridhiano
MWENYEKITI mteule wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameonesha wazi kuwa ataongoza Bunge hilo kwa maridhiano, baada ya kueleza kundi lililokuwa nyuma yake wakati wa kampeni.
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s72-c/unnamed+(84).jpg)
JUST IN: HALI YA HEWA KATIKA BUNGE LA KATIKA YATUAMA, MJADALA UNAENDELEA KWA BUSARA NA MAELEWANO
![](http://1.bp.blogspot.com/-_CUYL33bYWo/UxiVyY6v_KI/AAAAAAAFRjY/WNcdiZuFybo/s1600/unnamed+(84).jpg)
10 years ago
Habarileo24 Aug
Kulivunja Bunge sasa ni hasara -Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Katiba ya sasa yenye miaka 50 imewezesha kutungwa kwa sheria na kanuni zinazoleta maumivu kwa wananchi na kusema lengo la kutungwa kwa Katiba mpya ni kuziba mianya hiyo.
11 years ago
Mwananchi05 Mar
Sitta apiga jaramba kuongoza Bunge
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Sitta ataweka historia Bunge Maalumu
UJIO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, katika nafasi ya kuliongoza Bunge hilo la historia, inaweza kuweka historia ya kutengeneza katiba ile tunayohitaji na itamweka Rais Jakaya...
11 years ago
Habarileo27 Mar
Sitta: Kuna mpango kuvuruga Bunge
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samwel Sitta amefichua siri za kuwepo kwa mipango ya siri, inayodaiwa kufanywa na wajumbe wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), kuvuruga mchakato wa kuundwa kwa Katiba mpya.