Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba
Mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Saning’o Ole Telele amemshauri Mwenyekiti wa Bunge la Katiba na wajumbe kutumia busara zaidi katika kufikia maamuzi akibainisha kuwa vurugu zilizotokea mapema wiki hii zilisababishwa na tatizo la ukosefu wa busara.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HH5EPnzPgDI-0GF0oeoxiBsDrlKE6MK3Zv75Uo8COm8DotBp658HD*Ov1YF6PqugA6N5O2gxJ6pP-94EpZbKjYY*Nl98c3IY/CHENGE.jpg?width=650)
BUSARA ZITUEPUSHE MGONGANO BUNGE LA KATIBA
10 years ago
Habarileo06 Sep
Uamuzi kupinga Bunge la Katiba Sept 15
MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 15, mwaka huu, kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma.
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/LWw0InctTwlR6kkyGUlVXhaUcgbpKMmsY7Tf9fXMdGz37vCWox1iPrxWH*LF*kK9BFeXrCpArhXyx3Iiye0mfeuQhFx3uEsG/315407_114564585412445_342326531_n.jpg?width=650)
UAMUZI ULIOTANGAZWA NA WIZARA YA FEDHA KWA UKAWA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA
10 years ago
Habarileo18 Dec
Wasomi: Uamuzi wa Werema ni wa busara
WASOMI na wanasiasa kadhaa nchini wametoa maoni yao kuhusu uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu wadhifa wake juzi, kupitia barua yake kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naye aliiridhia.
11 years ago
Mwananchi04 Jan
Uamuzi wa Yanga kujitoa Mapinduzi haukuwa wa busara
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s72-c/magufuli-onyo.jpg)
SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA
![](https://1.bp.blogspot.com/-pdEi26YshYg/XoM7V3sqB6I/AAAAAAABL-E/7m92lcuqwuoN1SouIWnT-PoVn8aeq5vagCLcBGAsYHQ/s640/magufuli-onyo.jpg)
MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...
11 years ago
Habarileo13 Apr
Busara za Sitta zaokoa Bunge
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.