Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba

Mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Saning’o Ole Telele amemshauri Mwenyekiti wa Bunge la Katiba na wajumbe kutumia busara zaidi katika kufikia maamuzi akibainisha kuwa vurugu zilizotokea mapema wiki hii zilisababishwa na tatizo la ukosefu wa busara.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

BUSARA ZITUEPUSHE MGONGANO BUNGE LA KATIBA

Aliyekuwa Mwenyekiti wa Kamati ya Uandishi, Mhe. Andrew Chenge. KAMA ilivyo kawaida yangu, naomba nianze kwa kumshukuru sana Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, kwa uwezo wake wa ajabu ambao umetufanya mimi na wewe kukutana tena hapa katika ukurasa ambao ninaamini unapata mambo mengi sana muhimu yahusuyo nchi yetu. Nimesema na sitasita kurudia kila mara ninapopata nafasi, kukusihi sana kuhusu jinsi ya kumshukuru Mwenyezi Mungu,...

 

10 years ago

Habarileo

Uamuzi kupinga Bunge la Katiba Sept 15

MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 15, mwaka huu, kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma.

 

10 years ago

Mwananchi

Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba

>Makubaliano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kutaka Bunge Maalumu lifikie ukomo Oktoba 4, mwaka huu yamezua sintofahamu mjini hapa huku uamuzi huo ukionekana kuwachanganya viongozi wa Bunge hilo.

 

10 years ago

KwanzaJamii

Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania, John Cheyo akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, alipokuwa akitoa tamko kuhusu mchakato wa Katiba na Uchaguzi Mkuu wa 2015, mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi Dodoma. Makubaliano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kutaka Bunge Maalumu lifikie ukomo Oktoba 4, mwaka huu yamezua sintofahamu mjini hapa huku uamuzi huo ukionekana...

 

11 years ago

GPL

UAMUZI ULIOTANGAZWA NA WIZARA YA FEDHA KWA UKAWA BAADA YA KUSUSIA VIKAO VYA BUNGE LA KATIBA

Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba. Wizara ya Fedha kupitia Naibu wake Waziri wa fedha Mh. Mwigulu Nchemba wametangaza uamuzi wa kufuta malipo ya Wabunge waliosusia vikao vya mchakato wa Katiba vinavyoendelea Dodoma.

Uamuzi huu umetangazwa ikiwa ni siku ya pili tangu Wajumbe wa Bunge la Katiba Kutoka UKAWA wasusie Shughuli za Bunge la Katiba kwa Madai wamechoka matusi na Kuburuzwa kwenye Bunge hilo.

Hii leo...

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi: Uamuzi wa Werema ni wa busara

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick WeremaWASOMI na wanasiasa kadhaa nchini wametoa maoni yao kuhusu uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu wadhifa wake juzi, kupitia barua yake kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naye aliiridhia.

 

11 years ago

Mwananchi

Uamuzi wa Yanga kujitoa Mapinduzi haukuwa wa busara

>Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imechukua hatua ya kushangaza ya kujitoa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea Zanzibar katika dakika za mwisho.

 

5 years ago

CCM Blog

SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA


MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi  wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya  kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...

 

11 years ago

Habarileo

Busara za Sitta zaokoa Bunge

MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta jana alilazimika kutumia busara ili kuepusha Bunge hilo kuvunjika kutokana na kujitokeza kwa dosari mbalimbali wakati kamati zikiwasilisha maoni ya mijadala ya sura ya kwanza na ya sita ya rasimu ya Katiba mpya.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani