Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania, John Cheyo akizungumza kwenye mkutano na waandishi wa habari, alipokuwa akitoa tamko kuhusu mchakato wa Katiba na Uchaguzi Mkuu wa 2015, mjini Dodoma jana. Picha na Edwin Mjwahuzi Na Daniel Mjema na Sharon Sauwa, Mwananchi Dodoma. Makubaliano baina ya Rais Jakaya Kikwete na viongozi wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD), kutaka Bunge Maalumu lifikie ukomo Oktoba 4, mwaka huu yamezua sintofahamu mjini hapa huku uamuzi huo ukionekana...
KwanzaJamii
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba
11 years ago
Mwananchi09 Jul
MAONI: Katiba imeshindikana, ufanyike uamuzi mgumu
10 years ago
Habarileo06 Sep
Uamuzi kupinga Bunge la Katiba Sept 15
MAHAKAMA Kuu ya Kanda ya Dar es Salaam, imepanga Septemba 15, mwaka huu, kutoa uamuzi wa pingamizi la awali lililowasilishwa na Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), dhidi ya ombi la kusimamishwa kwa vikao vya Bunge Maalumu la Katiba linaloendelea mkoani Dodoma.
11 years ago
Mwananchi20 Mar
Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba
10 years ago
Mtanzania22 May
Uamuzi mgumu CCM
Na Khamis Mkotya, Dodoma
NI uamuzi mgumu, ndivyo unavyoweza kusema wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inapoanza vikao vya juu mjini Dodoma leo.
Vikao hivyo ni mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kikao cha kamati hiyo kinatarajiwa kuanza saa nne asubuhi, ambapo wajumbe wa kikao hicho watajadili masuala mbalimbali, ikiwamo hatima ya makada sita wa chama hicho waliofungiwa.
Hata hivyo, taarifa ambazo...
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Lowassa atangaza ‘uamuzi mgumu’
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Uamuzi mgumu kweli unalipa
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Zitto: Nitachukua uamuzi mgumu
Na Freddy Azzah, Kigoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametua jimboni kwake na kuomba kuungwa mkono kwa hatua yoyote atakayochukua kuanzia sasa.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipokuwa katika kikao cha ndani na viongozi wa jimbo hilo.
Ingawa hakuweka wazi ni hatua gani atakayochukua, lakini wachambuzi wa siasa wanasema pengine atachukua uamuzi mgumu kutokana na matukio kadhaa yaliyomtokea katika maisha yake ya kisiasa.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na takriban watu 250,...