MAONI: Katiba imeshindikana, ufanyike uamuzi mgumu
>Bunge Maalumu la Katiba lilipoanza shughuli zake mjini Dodoma mapema mwaka huu, zilijitokeza dalili za kuwapo uwezekano mkubwa wa Bunge hilo kushindwa kutunga Katiba Mpya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi10 Sep
Uamuzi mgumu,Rais hataongeza muda Bunge la Katiba
10 years ago
KwanzaJamii10 Sep
Uamuzi Mgumu, Rais Hataongeza Muda Bunge la Katiba
10 years ago
Mtanzania22 May
Uamuzi mgumu CCM
Na Khamis Mkotya, Dodoma
NI uamuzi mgumu, ndivyo unavyoweza kusema wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CC) inapoanza vikao vya juu mjini Dodoma leo.
Vikao hivyo ni mwelekeo wa chama kuelekea uchaguzi mkuu wa rais, wabunge na madiwani, unaotarajiwa kufanyika Oktoba, mwaka huu.
Kikao cha kamati hiyo kinatarajiwa kuanza saa nne asubuhi, ambapo wajumbe wa kikao hicho watajadili masuala mbalimbali, ikiwamo hatima ya makada sita wa chama hicho waliofungiwa.
Hata hivyo, taarifa ambazo...
10 years ago
Mwananchi25 Oct
MAONI: Uchunguzi ufanyike utata wa umri wa Miss Tanzania
10 years ago
Mtanzania14 Mar
Zitto: Nitachukua uamuzi mgumu
Na Freddy Azzah, Kigoma
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, ametua jimboni kwake na kuomba kuungwa mkono kwa hatua yoyote atakayochukua kuanzia sasa.
Kauli hiyo aliitoa mjini hapa jana, alipokuwa katika kikao cha ndani na viongozi wa jimbo hilo.
Ingawa hakuweka wazi ni hatua gani atakayochukua, lakini wachambuzi wa siasa wanasema pengine atachukua uamuzi mgumu kutokana na matukio kadhaa yaliyomtokea katika maisha yake ya kisiasa.
Katika kikao hicho kilichohudhuriwa na takriban watu 250,...
10 years ago
Mwananchi19 Oct
Uamuzi mgumu kweli unalipa
10 years ago
Mwananchi30 Jul
Lowassa, Ukawa uamuzi mgumu
11 years ago
Mwananchi21 Jun
Lowassa atangaza ‘uamuzi mgumu’
11 years ago
Mwananchi11 Dec
Heri ya Chadema wanachukua uamuzi mgumu