Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Uamuzi wa Yanga kujitoa Mapinduzi haukuwa wa busara

>Klabu ya Yanga ya Dar es Salaam imechukua hatua ya kushangaza ya kujitoa kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi inayoendelea Zanzibar katika dakika za mwisho.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Raia Mwema

“Donald Trump” wa Tanzania haukuwa uteuzi wa busara

RAIS John Magufuli ameitimiza ahadi yake kwa kuchagua baraza dogo la mawaziri likilinganishwa na

Ahmed Rajab

 

11 years ago

Habarileo

‘Muungano haukuwa uamuzi wa Nyerere,Karume’

BUNGE Maalumu la Katiba limeelezwa kuwa si kweli kwamba muungano baina ya Tanganyika na Zanzibar uliozaa Tanzania, haukuwa na ridhaa ya wananchi kama inavyodaiwa na baadhi ya watu. Badala yake, Bunge hilo limeelezwa kwamba ukweli ni kwamba viongozi wa kitaifa wa wakati huo, Mwalimu Julius Nyerere na Abeid Amaan Karume, walipata ridhaa ya wananchi kwa utaratibu uliofaa kwa wakati ule, kabla ya kufikia maridhiano wao wawili.

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi: Uamuzi wa Werema ni wa busara

Aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick WeremaWASOMI na wanasiasa kadhaa nchini wametoa maoni yao kuhusu uamuzi wa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema kujiuzulu wadhifa wake juzi, kupitia barua yake kwa Rais Jakaya Kikwete, ambaye naye aliiridhia.

 

5 years ago

Michuzi

MBUNGE CHADEMA ASEMA UAMUZI WA LOCKDOWN HAUKUWA WA MAANA, AHOJI HIVI RAIS ATOE MAAMUZI YA KUUA WATANZANIA WENGI KWA AJILI YA CORONA ILI APATE FAIDA GANI

Na Said Mwishehe, Michuzi TV.
WAKATI Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) kikiwa kwenye mpasuko baada ya baadhi ya wabunge wake kukaidi agizo la Chama hicho kuwataka kutohudhuria Bunge na kisha kukaa 14 kama sehemu ya kujilinda na virusi vya Corona limechukua sura mpya baada ya Mbunge wa Kilombero kwa tiketi ya Chama hicho Peter Lijualikali kuelezea hatua kwa hatua madhara ya Lockdown kwa Watanzania na namna ambavyo aliamua kutokubaliana na uamuzi huo kwa maslahi ya...

 

11 years ago

Mwananchi

Ole Telele: Busara zitangulie uamuzi Bunge la Katiba

Mbunge wa Bunge Maalumu la Katiba, Saning’o Ole Telele amemshauri Mwenyekiti wa Bunge la Katiba na wajumbe kutumia busara zaidi katika kufikia maamuzi akibainisha kuwa vurugu zilizotokea mapema wiki hii zilisababishwa na tatizo la ukosefu wa busara.

 

5 years ago

CCM Blog

SHUKRANI JPM KWA UAMUZI MGUMU,WENYE BUSARA KUIWEKA TZ TULIVU KUHUSU KORONA


MKUU wangu wa Nchi, nimeamua kukushukuru kwa uamuzi  wako Mgumu wenye Busara wa kuwataka Watanzania waache kutishana kuhusu ugonjwa wa Korona, bali waendelee kuchapa kazi, lakini kwa tahadhari kubwa juu ya Ugonjwa huo hatari uliozikumba nchi masikini na tajiri duniani.
Wakati unatoa uamuzi huo hukukurupuka kwa kuiga marufuku zinazotolewa na viongozi wa nchi mbalimbali, za kuwataka wananchi wao wasitoke nje kwa siku kadhaa wakidhani ndo njia mojawapo ya  kuudhibiti ugonjwa huo , bali wewe...

 

10 years ago

Vijimambo

CHAMA CHA MAPINDUZI CCM ZANZIBAR CHATOA TAMKO JUU YA KUJITOA KWENYE CHAMA WAZIRI MKUU MSTAAFU EDWARD LOWASA.

unnamed (4)Katibu wa CCM Mkoa Mjini Mohammed Omar Nyawenga akitoa taarifa ya Chama hicho kwa Waandishi wa Habari kuhusu kujitoa ndani ya Chama Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa katika mkutano uliofanyika Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui.unnamed (5)Mwenyekiti wa CCM Mkoa Mjini Borafia Silima akitoa ufafanuzi katika mkutano uliohudhuriwa na wajumbe wa ngazi mbali mbali za Chama na waandishi wa Habari Afisi kuu ya CCM Kisiwandui Mjini Zanzibar.
unnamed (6)Baadhi ya wanachama wa Chama cha Mapinduzi wakifuatilia mkutano huo...

 

11 years ago

GPL

YANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI

Kikosi cha Young Africans Sports Club. Uongozi wa klabu ya Young Africans umewasilisha barua rasmi kwa ZFA kutoshiriki mashindano ya kombe la Mapinduzi  yanayotarajiwa kuanza kutimua vumbi kesho  Januari Mosi 2014 Visiwani Zanzibar katika miji ya Unguja na Pemba kutokana na kuamua kulivunja Benchi nzima la Ufundi. Kufuatia kupewa taarifa (notice) kwa kocha msaidzi Fred Felix "Minziro" kocha wa makipa Razaki Siwa na daktari...

 

9 years ago

Habarileo

Yanga ni vipigo mpaka Mapinduzi

MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mafunzo ya mjini hapa katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani