Yanga ni vipigo mpaka Mapinduzi
MABINGWA wa soka Tanzania Bara, Yanga, jana walianza vema michuano ya Kombe la Mapinduzi baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mafunzo ya mjini hapa katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Amaan.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo17 Sep
YANGA NOMA, YAENDELEZA VIPIGO KWENYE UWANJA WA TAIFA
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/Mbuyu-Twite.jpg)
Mchezaji wa Yanga Muyu Twite akishangilia goli lake mara baada ya kuifungia Yanga goli la kwanza kwenye mchezo dhidi ya Tanzania Prisons
Mabingwa watetezi wa ligi kuu Tanzania bara timu ya Yanga imeendeleza wimbi la ushindi katika kuhakikisha inalitetea vyema taji lake baada ya leo kutoa kipigo kingine cha goli 3-0 mbele ya Tanzania Prisons ‘wajelajela’ kutoka jijini Mbeya kwenye mtanange uliomalizika jioni ya leo kwenye uwanja wa Taifa.
Yanga walianza kupata goli la kwanza kipindi cha kwanza...
10 years ago
Mwananchi09 Sep
Yanga hiyoo mpaka Fifa
11 years ago
Tanzania Daima02 Jun
Yanga! Kwa nini mpaka Simba ianze?
NI Jumatatu nyingine tulivu kabisa ya mwezi Juni, ulio katikati ya mwaka, mwezi unaoelemewa na baridi karibu sehemu kubwa ya nchi yetu. Ni kati ya miezi ambayo michuano ya Kombe...
11 years ago
GPLYANGA KUTOSHIRIKI MAPINDUZI
10 years ago
BBCSwahili09 Jan
Yanga yaaga kombe la Mapinduzi
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Yanga, Azam kundi moja Mapinduzi
HUSSEIN OMAR NA KOMBO ALI, ZANZIBAR
KLABU za Yanga na Azam zimepangwa kundi moja kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi, ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi visiwani Zanzibar, Januari 2, mwakani katika Uwanja wa Amaan.
Kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa jana, Yanga na Azam wako Kundi B la michuano hiyo pamoja na timu za Mafunzo na Mtibwa Sugar ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakati Kundi A, lina timu za Simba, URA ya Uganda, JKU ya Unguja na Jamhuri ya Pemba kundi ambalo linaonekana kuwa dhaifu...
9 years ago
Mtanzania02 Jan
Yanga kunoa makali Kombe la Mapinduzi
NA ZAINAB IDDY, DAR ES SALAAM
TIMU ya Yanga tayari imewasili Zanzibar kwa ajili ya kushiriki michuano ya Kombe la Mapinduzi itakayoanza kesho huku wakitamba kutwaa ubingwa na kusaka makali kwa ajili ya michuano ya Klabu Bingwa Afrika.
Katika mashindano ya Mapinduzi, Yanga imepangwa kundi B ikiwa na Azam, Mtibwa Sugar na Mafunzo ya Zanzibar ambapo inatarajia kufungua dimba kesho kwa kuvaana na Mafunzo.
Kikosi hicho kinachonolewa na kocha Hans Vans Pluijm na msaidizi wake, Juma Mwambusi,...
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Yanga yang'ara Kombe la Mapinduzi
10 years ago
BBCSwahili05 Jan
Yanga yachanja mbuga mapinduzi Cup