Kulivunja Bunge sasa ni hasara -Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Katiba ya sasa yenye miaka 50 imewezesha kutungwa kwa sheria na kanuni zinazoleta maumivu kwa wananchi na kusema lengo la kutungwa kwa Katiba mpya ni kuziba mianya hiyo.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo16 Aug
Sitta- Kusitisha Bunge Maalum hasara
MWENYEKITI wa Bunge Maalum la Katiba, Samuel Sitta amesema iwapo Bunge hilo litasitishwa fedha zote za wananchi zilizotumika tangu kuanza kwa mchakato huo miaka mitatu iliyopita zitakuwa zimeteketea bure.
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Wananchi wakilazimika kulivunja Bunge la Katiba tutawajibika!
RAIS wangu, taifa linawayawaya halijui pa kushika! Limeingizwa kwenye mzaha aghali kama vile hakuna Mungu! Maswali ni mengi. Watu ambao muda wao wa kutumika umeisha, wanapogeuzwa waganga wa kienyeji na...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI KUHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/_D-4PzzSXQA/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-uevXewMtpGA/VZ8Ts0TVV0I/AAAAAAAHoNM/GsnJMjl7DHQ/s640/b1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIPOHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA RASMI JANA MJINI DODOMA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/iAT0B9wCR3CTHfhN4EcHkvQOXu5LJlsu7pQS3cZo3Lc2eX9jDqJ3gdku6Equ*MEudNRyGihqt8Db2wsuHOZQyS*KzjSI9Rr3/sitta.jpg)
SITTA, ULIOMBA, UKAAMINIWA, SASA TULIPE!
10 years ago
Vijimambo07 Oct
Chadema sasa yajipanga kupiga kambi jimbo la Sitta
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Samuel-Sitta--Ocxtober7-2014.jpg)
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kupitia Baraza lake la Vijana Taifa (Bavicha), kimetangaza mkakati wa kwenda kuweka kambi kwenye Jimbo la Urambo Mashariki linaloongozwa na aliyekuwa Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta.
Lengo la chama hicho ni kuwaeleza namna kiongozi huyo alivyochakachua Rasimu ya maoni ya Watanzania.
Mkakati huo ulitangazwa jana na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa, Patrobas Katambi na Katibu wa Baraza hilo, Julius...
11 years ago
Habarileo13 Mar
Sitta na Bunge la Maridhiano
MWENYEKITI mteule wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameonesha wazi kuwa ataongoza Bunge hilo kwa maridhiano, baada ya kueleza kundi lililokuwa nyuma yake wakati wa kampeni.