RAIS MAGUFULI KUHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA KESHO

Na Jonas Kamaleki-MAELEZOSpika wa Bunge, Mhe. Job Ndugai amesema kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli anatarajia kulihutubia na kulivunja Bunge la 11 jijini Dodoma kesho Juni 16, 2020.
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu...
CCM Blog
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
10 years ago
GPL
RAIS KIKWETE ALIPOHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA RASMI JANA MJINI DODOMA
10 years ago
BBCSwahili02 Oct
Rais Kikwete kuhutubia Bunge la Kenya
11 years ago
GPL
RAIS KIKWETE AWASILI DODOMA KUHUTUBIA BUNGE MAALUM LA KATIBA