Wananchi wakilazimika kulivunja Bunge la Katiba tutawajibika!
RAIS wangu, taifa linawayawaya halijui pa kushika! Limeingizwa kwenye mzaha aghali kama vile hakuna Mungu! Maswali ni mengi. Watu ambao muda wao wa kutumika umeisha, wanapogeuzwa waganga wa kienyeji na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo24 Aug
Kulivunja Bunge sasa ni hasara -Sitta
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta amesema Katiba ya sasa yenye miaka 50 imewezesha kutungwa kwa sheria na kanuni zinazoleta maumivu kwa wananchi na kusema lengo la kutungwa kwa Katiba mpya ni kuziba mianya hiyo.
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
RAIS MAGUFULI KUHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA KESHO
![](https://1.bp.blogspot.com/-TxRZrQbEe9k/XueP10dGgKI/AAAAAAAC7nY/PU5nf4MlN4AaPY-4j1xxDacdy5QDjpURwCLcBGAsYHQ/s400/1.jpg)
Bunge hilo lilifunguliwa na Rais Magufuli Novemba 20, 2015 baada ya kuapishwa kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Akifungua Bunge hilo, Rais Magufuli aliainisha viapaumbele kadhaa vya Serikali yake ikiwemo kupambana na rushwa, kukusanya kodi, kupunguza urasimu...
5 years ago
CCM Blog![](https://img.youtube.com/vi/_D-4PzzSXQA/default.jpg)
10 years ago
GPL![](http://3.bp.blogspot.com/-uevXewMtpGA/VZ8Ts0TVV0I/AAAAAAAHoNM/GsnJMjl7DHQ/s640/b1.jpg)
RAIS KIKWETE ALIPOHUTUBIA BUNGE NA KULIVUNJA RASMI JANA MJINI DODOMA
11 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s72-c/107578798.png)
BUNGE LA KATIBA LITAPIMWA NA WANANCHI - TLS
![](http://4.bp.blogspot.com/-zoG2Xng9xio/UwdF9Jss33I/AAAAAAAFOnE/AHgJZ3NnQTs/s1600/107578798.png)
Raisi wa Chama cha Wanasheria Tanzania ,Tanganyika Law Society (TLS),Francis Stola amesema kuwa kazi ya Bunge la Katiba itapimwa na wananchi kupitia kura ya maoni ya Katiba inayowapa mamlaka ya kuikataa katiba hiyo ama kuikubali endapo wanaona kuwa maoni yao hayakuzingatiwa.
Licha ya kifungu cha 25 cha sheria ya mabadiliko kutokufafanua madaraka halisi ya tume hiyo lakini pia wametakiwa kutengeneza katiba inayotakiwa na Watanzania walio wengi.
Akizungumza na...
10 years ago
Tanzania Daima05 Nov
Katiba mpya tusingoje wananchi wachome Bunge
MWEZI Oktoba unaingia kwenye historia kama mwezi uliofufua matumaini ya kupata haki kwa nchi za kiafrika kusini mwa Jangwa Sahara. Mapinduzi ya umma yaliyomlazimisha imla wa zamani wa Burkina Faso,...
11 years ago
Mwananchi18 May
‘Kuna dalili Bunge la Katiba litapora mamlaka ya wananchi’
11 years ago
Tanzania Daima02 Apr
Rais wangu Kikwete, Bunge la Katiba limewatumbukia nyongo wananchi
RAIS wangu, katika kutaka kuboresha ustawi wao wa hapa duniani wanadamu hujiundia mambo yao kwa nia njema kabisa! Wakati mwingine hayo hayo waliyojiundia wakiwa na nia njema, hugeuka kuwa majanga...