Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sitta ataweka historia Bunge Maalumu

UJIO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, katika nafasi ya kuliongoza Bunge hilo la historia, inaweza kuweka historia ya kutengeneza katiba ile tunayohitaji na itamweka Rais Jakaya...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Sitta ahaha kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba

>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta anahaha kulinusuru Bunge hilo, baada ya wajumbe ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vinavyoendelea mjini Dodoma.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta yu msalabani, kuongoza Bunge Maalumu la Katiba?

>Mkanganyiko pekee na uliobakia kwa Watanzania  wakiwamo wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba ni viporo kwenye kanuni za 37 na 38, vinginevyo hali ya hewa ndani ya Bunge hilo imetulia.

 

11 years ago

Mwananchi

Sitta aahidi nafasi zaidi kwa makundi maalumu

Mwenyekiti wa Bunge la Katiba, Samuel Sitta ameahidi kuwapa nafasi zaidi wajumbe wa Bunge hilo wanaotoka katika makundi maalumu.

 

10 years ago

Michuzi

HISTORIA YA BUNGE

Utangulizi
Bunge ni nini?-Bunge ni chombo cha uwakilishi wa Watu. Chombo hiki kina sehemu Kuu mbili:     a)Wabunge (National Assembly) na                         b) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Historia ya Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaanzia tarehe 19 Machi 1926 siku ambayo Bunge la Uingereza lilipisha sheria iliyoitwa “The Tanganyika Legislative Council Order in Council, 1926.
Tanganyika wakati huo ilikuwa chini ya utawala wa Uingereza ambapo ilikuwa imepewa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bunge Maalumu vuluvulu

WAJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba wameendelea kuvutana juu ya kutumika kwa kura ya wazi au ya siri katika maamuzi watakayoyafanya wakati wa kupitia rasimu ya Katiba mpya. Mvutano huo...

 

11 years ago

Habarileo

Makatibu Bunge Maalumu waapishwa

YAHYA Hamis Hamad kutoka Zanzibar ndiye Katibu wa Bunge Maalumu la Katiba. Katibu huyo jana aliapishwa na Rais Jakaya Kikwete kushika wadhifa huo huku akiahidi kufanya kazi yake kwa weledi mkubwa na kwa kufuata kanuni za Bunge hilo.

 

11 years ago

Habarileo

Rais kuunda Bunge Maalumu

Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph WariobaRAIS Jakaya Kikwete amealika makundi mbalimbali kuwasilisha orodha ya watu wasiopungua wanne na wasiozidi tisa kwa ajili ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba.

 

11 years ago

Mwananchi

Lipualipua Kamati za Bunge Maalumu

>Kamati za Bunge Maalumu la Katiba zilizoanza vikao vyake juzi mjini Dodoma, zimejikuta zikifanya kazi kwa kulipua kutokana na uchache wa muda uliotengwa, ikilinganishwa na ukubwa wa kazi ya uchambuzi wa ibara za rasimu ya Katiba hiyo.

 

10 years ago

Mwananchi

Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba

>Wakati Rais Jakaya Kikwete akitarajiwa kukutana tena na viongozi wa vyama vya siasa ambavyo ni wanachama wa Kituo cha Demokrasia nchini (TCD), kuna taarifa kwamba huenda Oktoba 4, mwaka huu ikawa siku ya mwisho ya kukutana kwa Bunge Maalumu, linaloendelea na utunzi wa Katiba Mpya mjini Dodoma.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani