Sitta ahaha kulinusuru Bunge Maalumu la Katiba
>Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta anahaha kulinusuru Bunge hilo, baada ya wajumbe ambao ni wanachama wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kususia vikao vinavyoendelea mjini Dodoma.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi19 Mar
Sitta yu msalabani, kuongoza Bunge Maalumu la Katiba?
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Sitta ataweka historia Bunge Maalumu
UJIO wa Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, katika nafasi ya kuliongoza Bunge hilo la historia, inaweza kuweka historia ya kutengeneza katiba ile tunayohitaji na itamweka Rais Jakaya...
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-LuibVj0oezc/UwUfG9TlmhI/AAAAAAAFOJE/fcx1MiG4AhE/s72-c/unnamed+(10).jpg)
wasanii wavamia bunge maalumu la katiba kudai haki zao zitambulike katka katiba mpaya dodoma
Wsanii 12 wakiwemo viongozi toka Shirikisho la muziki, Shirikisho la Filamu, Shirikisho la Sanaa za ufundi, Mtandao wa Wanamuziki Tanzania walifunga safari na kuvamia Dododma na kuwa na mfululizo wa mikutano na wabunge mbalimbali ili kuwashawishi waunge mkono vipengele viwili ambavyo wasanii wanavitaka katika Katiba 1. Kundi la wasanii kutambuliwa katika Katiba kama vile walivyotambuliwa Wakulima, wafugaji, wavuvi na wafugaji walivyotajwa 2. Milliki Bunifu kwa kiingereza Intellectual...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
11 years ago
Tanzania Daima19 Mar
Bunge Maalumu la Katiba kusambaratika?
RAIS wangu wahenga walisema, “Kinachowezekana leo kisingoje kesho”. Inaaminika kuwa akili zetu za leo hazijawahi kuwa kubwa kufikia ukubwa wa akili walizokuwanazo wahenga wetu. Ndiyo maana mpaka leo tunafikiri huku...
10 years ago
Mwananchi07 Sep
Mgogoro Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Mwananchi16 Apr
Siku 60 zaidi Bunge Maalumu la Katiba
10 years ago
Mwananchi13 Sep
Mtei alishukia Bunge Maalumu la Katiba
11 years ago
Tanzania Daima26 Feb
BUNGE MAALUMU LA KATIBA: Uzalendo na posho (2)
BUNGE Maalumu la Katiba limeanza kazi iliyokusudiwa! Hata hivyo, matarajio ya wananchi wengi yameanza kuingia shaka kubwa baada ya wabunge kuanza madai ya nyongeza ya posho za vikao badala ya...