Bunge EAC lavurugika
BUNGE la Afrika Mashariki (EALA), limeahirishwa kwa muda usiojulikana baada ya kutawaliwa malumbano jana juu ya suala zima la kumng’oa Spika.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo27 Mar
Bunge la Katiba lavurugika
TAARIFA ya kuwepo kwa marekebisho mapya ya Kanuni za Bunge Maalumu la Katiba, zimesababisha vurugu, kurushiana matamshi yasiyo ya staha na kuzomeana bungeni, huku Mwenyekiti wa Bunge Maalum, Samuel Sitta, akituhumiwa kushiriki kuchakachua Kanuni hizo.
10 years ago
Mwananchi05 Sep
Bunge la EAC lavunjika Dar
11 years ago
Mwananchi03 Apr
Isipotumika busara, Bunge EAC litasambaratika
10 years ago
Mtanzania26 Aug
Bunge la EAC kuanza kesho Dar
![Bunge](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/08/Bunge.jpg)
Bunge
NA SHABANI MATUTU
BUNGE la tatu la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA), linatarajiwa kufanyika kesho na kumalizika Septemba 5, mwaka huu katika Ukumbi wa Karimjee, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia sababu za Bunge hilo kufanyia mkutano wake Dar es Salaam, Spika wa Bunge hilo, Dk. Margaret Zziwa, alisema umetokana na taratibu walizojiwekea za kufanya vikao kwa zamu katika nchi wanachama ili wajiweke karibu na wananchi kwa ajili ya kutambulisha shughuli zao.
“Ripoti hizo ni Kamati ya...
11 years ago
Mwananchi04 Jun
Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko
10 years ago
Uhuru Newspaper![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s72-c/MAKINDAANNE.jpg)
Spika Makinda ataka ushirikiano Bunge la EAC
Na Mwandishi Wetu
SPIKA wa Bunge, Anne Makinda, amewataka wabunge wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) kutengeneza utaratibu wa kuongeza uhusiano kati ya bunge hilo na yale ya nchi wanachama.
Akizungumza katika ufunguzi wa bunge hilo, Spika Anne alisema tayari maspika wa mabunge ya nchi wanachama wa Jumuia ya Afrika Mashariki (EAC), wamekubalina kuunda kamati zitakazoshughulikia mambo ya jumuia hizo.
![](http://3.bp.blogspot.com/-6xF6gU8ttPk/U_78ggu6oQI/AAAAAAAABko/8frNcpLzS4g/s1600/MAKINDAANNE.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-2fDoUdgbPYk/VQpP0NhBKzI/AAAAAAAHLXQ/lPZ9x51CRhg/s72-c/unnamed%2B(46).jpg)
Rais Kikwete awasili Burundi kulihutubia Bunge la EAC
11 years ago
Habarileo04 Jun
Hoja kumng'oa Spika Bunge la EAC bado hai
WABUNGE wa Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki (EALA) wamesisitiza kuwa mpango wa kumng’oa Spika wa Bunge hilo, Margaret Zziwa liko pale pale licha ya wabunge watatu wa Tanzania kuondoa saini zao.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200225_175809_703.jpg)
MJADALA WAIBUKA TENA BUNGE LA EALA UKOSEFU WA FEDHA ZA KUTOSHA KUENDESHA JUMUIYA EAC
![](https://1.bp.blogspot.com/-J-U3CRdPqLU/XlVwCee_DqI/AAAAAAALfZ4/JTQf3_vXbOcytrV5XNokyYZ6QrfbdUCgQCLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200225_175809_703.jpg)
Mbunge wa bunge hilo George Odongo akiongea na wanahabari nje ya bunge.
Na Ahmed Mahmoud Arusha
Wabunge wa bunge la Afrika mashariki wameibua tena mjadala wa tatizo la ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza majukumu ya kila siku ya jumuiya na kuliomba Baraza la mawaziri kuona uwezekano wa kulipatia ufumbuzi wa kudumu tatizo hilo.
Akiongea wakati akichangia mjadala wa ripoti ya ukaguzi fedha hilo Mbunge wa EALA Mariamu Ussi alisema kuwa suala hilo ni changamoto ambayo inahitaji kupatiwa...