Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KITUKO!

Na Issa Mnally
AMA kweli dunia uwanja wa fujo! Mrembo aliyetajwa kwa jina la Baby amefanya kituko cha aina yake kwa kusaula nguo mbele ya hadhara baada ya shemeji yake maarufu kwa jina la Baba K kufumaniwa.

FUMANIZI LAIVU
Tukio hilo la aina yake lililovuta wengi lilijiri kwenye gesti moja (jina tunalo), maeneo ya Temeke jijini Dar hivi karibuni baada ya jamaa mmoja kumwekea mtego rafiki yake aliyekuwa akimtongoza mkewe na...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Mgogoro Chadema kituko

MGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema, umeingia katika hatua nyingine baada ya makada wa chama hicho wanaopingana kimisimamo, kufunga ofisi za chama hicho mjini Mpanda kwa zaidi ya wiki sasa.

 

10 years ago

GPL

RIHANNA AONYESHA KITUKO

Mwanadada mrembo mwimbaji wa RnB, Rihanna. New York, Marekani
MWANADADA mrembo mwimbaji wa RnB, Rihanna, 27,juzikati alitokelezea akiwa amevaa shati kubwa na kuonekana kituko kwa watu wengi. Mbaya zaidi, demu huyo asiyeishiwa na vituko, alikuwa amefungua vishikizo karibu vyote vya shati hilo huku akiwa hajavaa blazia, hatua ambayo ilisababisha sehemu ya matiti yake kuonekana. Kingine ni kwamba nguo hiyo ni ya kiume lakini...

 

11 years ago

GPL

KAJALA ALEWA TILALILA, AGEUKA KITUKO

Stori:  IMELDA MTEMA
STAA wa sinema za nyumbani (Swahili Hood), Kajala Masanja amegeuka kituko nyumbani kwa Wema Isaac Sepetu, Kijitonyama, Dar baada ya kulewa tilalila na kuwaacha midomo wazi wasanii wenzake, Ijumaa Wikienda lina kisa na mkasa. Kajala Masanja. Kwa mujibu wa shuhuda wetu, Kajala alifanya madudu hayo mwishoni mwa wiki iliyopita alipokuwa akirekodi filamu yake inayokwenda kwa jina la Laana ambapo waigizaji...

 

11 years ago

GPL

NISHA AWA KITUKO KWA YATIMA

Stori:  Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ hivi karibuni alijikuta akigeuka kituko kwa watoto yatima kutokana na mavazi ya ‘kihasara’ aliyokuwa amevaa na kulazimika kujistiri na mtandio kiunoni. Nisha akiwa na timu yake (Team Nisha), walikwenda kutoa msaada katika Kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti, jijini Dar na walipofika walijishangaa kwa kuwa watoto hao...

 

11 years ago

Mwananchi

Bunge EAC lijiangalie upya lisigeuke kituko

Kwa mara nyingine, hoja ya kumng’oa Spika wa Bunge la Afrika Mashariki (Eala), Dk Margret Nantongo Zziwa imekwamisha shughuli za bunge hilo huku bajeti ya Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), iliyopaswa kusomwa Alhamisi ya Mei 29, ikikwama.

 

5 years ago

Raia Mwema

Kituko cha Spika wa Bunge asiye mbunge!

TUNAWEZA kubaini hatua mbalimbali za kihistoria zilizolifanya bunge letu liwe bubu na butu, nami

Jenerali Ulimwengu

 

11 years ago

Tanzania Daima

Timu ngeni Ligi Kuu zijipange zisiwe kituko

WAKATI Ligi Kuu Tanzania Bara ikitarajiwa kufikia tamati Aprili 19, baadhi ya timu zimeleta ushindani mkubwa, zikiwemo Mbeya City iliyocheza ligi hiyo kwa mara ya kwanza, na Azam FC ambazo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani