NISHA AWA KITUKO KWA YATIMA
![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jF7MGtqbimOZpFBJZTIwM9nVJY0T7suL*tcAx4Xhz9aZxJ9dnVqV1RI*EIRak89EsGwcr4X*E4SteHrRtEVXOME/nisha.jpg?width=650)
Stori: Gladness Mallya STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ hivi karibuni alijikuta akigeuka kituko kwa watoto yatima kutokana na mavazi ya ‘kihasara’ aliyokuwa amevaa na kulazimika kujistiri na mtandio kiunoni. Nisha akiwa na timu yake (Team Nisha), walikwenda kutoa msaada katika Kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti, jijini Dar na walipofika walijishangaa kwa kuwa watoto hao...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPLNISHA NA TIMU YAKE WAFANYA KUFURU KWA WATOTO YATIMA VINGUNGUTI
11 years ago
Bongo Movies17 Jun
10 years ago
Bongo Movies31 May
JB Ampongeza Nisha kwa Jambo Hili, Nifunzo kwa Mastaa Wengine
Kutoka Mtandaoni: Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amempongeza staa mwenzake Salma Jabu ‘Nisha’ kwa jitihada zake za kuzitangaza kazi zake zaidi kupitia ukursa wake kwenye mtandao picha wa Instagram ambapo hadi leo anawatu zaidi ya laki moja na nusu wanao mfuatilia.
Napenda kuongea kutokana moyoni kwamba navutiwa na jinsi dada huyu anavyo jitahidi.hongera.kila nikipitia acc yako mara nyingi unaongelea juu ya kazi zako.hongera. endelea kupambana,”JB aliandika hayo mara baada...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Apuk65MO0R2aZJJJ1ooHhmsXznBeArO-9mwyn*eOV6Q0WZ8Uq1s7vEHaGGWrlXK8ef-nj0CB-iDrId4ZFoVXxkRMURPqQCpj/kituko.jpg?width=650)
KITUKO!
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Swali la Kizushi Kutoka kwa Nisha…..
Helloo wapenzi!? Eti ni nani kati ya hawa nikicheza nao huwa tunakukuna haswa mtima,yaani huwa unapenda couple yetu tukicheza pamoja,(taja wawili)
Mf:Mlela na Mau au vile ww unapenda (nb:hii inahusu wanaume niliyofanya nao kazi tu)
Nisha ameuliza mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgkloq4zC2loa1awNaXVVU2ZGQp2PqL3gcdFg31AY-D-GPgJv8anrzDJiKBQDFXStLl3deo-LLePg9keqxV4UeT*6mh/nisha.jpg)
NISHA AWASHTAKIA WEZI KWA MUNGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVfb574RcTUbInDXP4Jk2IGEjnf6s3PL9Alhox3lRdw6xQSfv1EPPAP1PSAtm2ZM9WDIIzPYiiuVv20tyuHT9Hw5/NISHA.jpg?width=650)
NISHA ADAIWA KUBEMBELEZA PENZI KWA NAY
9 years ago
Bongo Movies09 Oct
Nisha kwa Baraka Nimefuata Penzi, Si Pesa
Staa wa Filamu za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amesema kuwa sababu ya kuingia kwenye uhusiano wa kimapenzi na Mwanamuziki Baraka Da Prince ni kuhitaji penzi la kweli na si vinginevyo.
Akipiga stori na Ijumaa, Nisha alisema kuwa watu wamekuwa wakimsengenya kwa kudai kuwa eti yeye kuwa na Baraka ni sawa na ‘kumbemenda’ lakini akajitetea kwamba penzi la siku hizi haliangalii umri, kikubwa ni penzi la kweli.
“Unaweza kuwa na mtu mzima mwenzako na msielewane lakini ukawa na ‘serengeti boy’...
11 years ago
Habarileo03 Mar
Mgogoro Chadema kituko
MGOGORO wa uongozi ndani ya Chadema, umeingia katika hatua nyingine baada ya makada wa chama hicho wanaopingana kimisimamo, kufunga ofisi za chama hicho mjini Mpanda kwa zaidi ya wiki sasa.