Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Swali la Kizushi Kutoka kwa Nisha…..

Helloo wapenzi!? Eti ni nani kati ya hawa nikicheza nao huwa tunakukuna haswa mtima,yaani huwa unapenda couple yetu tukicheza pamoja,(taja wawili)
Mf:Mlela na Mau au vile ww unapenda (nb:hii inahusu wanaume niliyofanya nao kazi tu)

Nisha ameuliza mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

11 years ago

GPL

NISHA AZUIWA KUTOKA NJE

Stori: Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ amezuiwa kutoka nje kutokana na sheria na taratibu zilizopo ndani ya familia yao nyumbani kwao Zanzibar. Salma Jabu ‘Nisha’. Chanzo makini kimepenyeza habari kuwa, Nisha baada ya kufika nyumbani kwao visiwani Zanzibar, amekuwa hatoki nje kwani nduguze wamemwambia sheria hairuhusu kutokatoka nje bila sababu za msingi.
Nisha alipoulizwa...

 

11 years ago

Michuzi

MBUNGEWA MOSHI VIJIJINI DKT CYRIL CHAMI ASIKITISHWA NA TAARIFA ZA KIZUSHI ZINAZOSAMBAZWA KWA BAADHI YA VYOMBO VYA HABARI JUU YAKE.

Mimi Dr Cyril August Chami, Mbunge wa Moshi Vijijini (CCM) napenda kueleza masikitiko yangu kwa taarifa za uzushi na za kutunga kuwa eti mke wangu asiye na jina amemuua mfanyakazi wetu Mwislamu kwa sababu "marehemu" alikataa kwenda kanisani.

Mimi sina mfanyakazi wa jina hilo la Mariamu. Wala sina mfanyakazi mwenye umri wa miaka 16. Hatuna tatizo lolote la mfanyakazi yeyote kupigwa, achilia mbali kuuawa. Lakini taarifa hizo ambazo ni za uongo mtupu zimewashtua wengi kwa sababu...

 

10 years ago

Bongo Movies

JB Ampongeza Nisha kwa Jambo Hili, Nifunzo kwa Mastaa Wengine

Kutoka Mtandaoni: Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amempongeza staa mwenzake Salma Jabu ‘Nisha’ kwa jitihada zake za kuzitangaza kazi zake zaidi kupitia ukursa wake kwenye mtandao picha wa Instagram ambapo hadi leo anawatu zaidi ya laki moja na nusu wanao mfuatilia.

Napenda kuongea kutokana moyoni kwamba navutiwa na jinsi dada huyu anavyo jitahidi.hongera.kila nikipitia acc yako mara nyingi unaongelea juu ya kazi zako.hongera. endelea kupambana,”JB aliandika hayo mara baada...

 

11 years ago

GPL

NISHA AWA KITUKO KWA YATIMA

Stori:  Gladness Mallya
STAA wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ hivi karibuni alijikuta akigeuka kituko kwa watoto yatima kutokana na mavazi ya ‘kihasara’ aliyokuwa amevaa na kulazimika kujistiri na mtandio kiunoni. Nisha akiwa na timu yake (Team Nisha), walikwenda kutoa msaada katika Kituo cha Mwana Orphans Centre kilichopo Vingunguti, jijini Dar na walipofika walijishangaa kwa kuwa watoto hao...

 

10 years ago

GPL

NISHA AWASHTAKIA WEZI KWA MUNGU

Gladness mallya
Baada ya wezi kumfanyia kitu mbaya kwa kumuibia vifaa kibao kwenye gari lake na kuliacha kama gofu, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameamua kufunga siku saba kwa ajili ya kuwashtaki wezi hao kwa Mwenyezi Mungu. Staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na paparazzi wetu, Nisha alisema kwa siku hizo saba ataomba dua maalum na hatatoka nyumbani kwenda sehemu yoyote...

 

11 years ago

GPL

NISHA ADAIWA KUBEMBELEZA PENZI KWA NAY

Stori: MUSA MATEJA
STAA wa sinema za Kibongo, Salma Jabu ‘Nisha’ anadaiwa kubembeleza penzi kwa staa wa muziki wa Bongo Fleva, Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’, Ijumaa lina full mchongo. Nay wa Mitego na Nisha katika pozi la kimahaba enzi za penzi lao. Mnyetishaji wetu alivujisha mawasiliano baina ya wawili hao waliowahi kuwa wapenzi kisha kumwagana ambapo yalionyesha kuwa Nisha analitamani upya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani