NISHA AWASHTAKIA WEZI KWA MUNGU
![](http://api.ning.com:80/files/DS3fBDgkloq4zC2loa1awNaXVVU2ZGQp2PqL3gcdFg31AY-D-GPgJv8anrzDJiKBQDFXStLl3deo-LLePg9keqxV4UeT*6mh/nisha.jpg)
Gladness mallya Baada ya wezi kumfanyia kitu mbaya kwa kumuibia vifaa kibao kwenye gari lake na kuliacha kama gofu, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameamua kufunga siku saba kwa ajili ya kuwashtaki wezi hao kwa Mwenyezi Mungu. Staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na paparazzi wetu, Nisha alisema kwa siku hizo saba ataomba dua maalum na hatatoka nyumbani kwenda sehemu yoyote...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies11 May
Hapa na Pale: Pole Nisha kwa Kuvamiwa na Wezi
“Kila jambo hujengwa kwa imani,nakushukuru baba hakika wewe ndo ulinipa na wewe ndo umechukua, ahsanteni wezi/majambazi
Wapenzi nimevamiwa usiku wa kuamkia leo (jana), watu wasiopungua watano,wamekuja na gari kabisa,wamechukua walivyochukua kikubwa nipo hai’- Hayo ndiyo maelezo ya Staa wa Bongo Movies Salma Jabu ‘Nisha’ mara baada ya Wezi kumvamia na kukomba vitu baadhi kama unavyoona hapo juu pichani.
Pole sana Nisha, Mungu akupe nguvu na baraka zaidi.
Mzee wa...
10 years ago
Bongo Movies19 Dec
Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?
Ikiwa ni siku tatu tu! zimebaki kutoa movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.
Nanukuu;
"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?
Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...
10 years ago
Mwananchi20 Oct
Unyanyasaji wa kijinsia “Tuwatume wezi wawakamate wezi wenzao”
11 years ago
Dewji Blog09 Apr
WAZIRI Muhongo amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo kulipwa fidia ni wezi sawa na wezi wa maofisini wa mali za Umma
Mbunge wa jimbo la Iramba Magharibi na Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Mwingulu Nchemba, akizungumza kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Kaselya wilaya ya Iramba.Wa kwanza kulia ni Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo na wa pili kushoto ni Mkuu wa wilaya ya Iramba Yahaya Nawanda.
Na.Nathaniel Limu-Singida
WAZIRI wa NIishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (MB), amesema wananchi wanaotoa taarifa za uongo ili waweze kulipwa fidia wakati hawastahili, ni wezi sawa na...
10 years ago
Bongo Movies31 May
JB Ampongeza Nisha kwa Jambo Hili, Nifunzo kwa Mastaa Wengine
Kutoka Mtandaoni: Staa mkongwe wa Bongo Movies, Jacob Stephen ‘JB’ amempongeza staa mwenzake Salma Jabu ‘Nisha’ kwa jitihada zake za kuzitangaza kazi zake zaidi kupitia ukursa wake kwenye mtandao picha wa Instagram ambapo hadi leo anawatu zaidi ya laki moja na nusu wanao mfuatilia.
Napenda kuongea kutokana moyoni kwamba navutiwa na jinsi dada huyu anavyo jitahidi.hongera.kila nikipitia acc yako mara nyingi unaongelea juu ya kazi zako.hongera. endelea kupambana,”JB aliandika hayo mara baada...
10 years ago
Bongo Movies01 Apr
Swali la Kizushi Kutoka kwa Nisha…..
Helloo wapenzi!? Eti ni nani kati ya hawa nikicheza nao huwa tunakukuna haswa mtima,yaani huwa unapenda couple yetu tukicheza pamoja,(taja wawili)
Mf:Mlela na Mau au vile ww unapenda (nb:hii inahusu wanaume niliyofanya nao kazi tu)
Nisha ameuliza mara baada ya kubandika picha hiyo hapo juu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8l--NuzR*jF7MGtqbimOZpFBJZTIwM9nVJY0T7suL*tcAx4Xhz9aZxJ9dnVqV1RI*EIRak89EsGwcr4X*E4SteHrRtEVXOME/nisha.jpg?width=650)
NISHA AWA KITUKO KWA YATIMA
11 years ago
BBCSwahili06 May
Tahadhari kwa wezi wa simu mitaani
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XK5BrsN2RVfb574RcTUbInDXP4Jk2IGEjnf6s3PL9Alhox3lRdw6xQSfv1EPPAP1PSAtm2ZM9WDIIzPYiiuVv20tyuHT9Hw5/NISHA.jpg?width=650)
NISHA ADAIWA KUBEMBELEZA PENZI KWA NAY