Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Hapa na Pale: Pole Nisha kwa Kuvamiwa na Wezi

“Kila jambo hujengwa kwa imani,nakushukuru baba hakika wewe ndo ulinipa na wewe ndo umechukua, ahsanteni wezi/majambazi
Wapenzi nimevamiwa usiku wa kuamkia leo (jana), watu wasiopungua watano,wamekuja na gari kabisa,wamechukua walivyochukua kikubwa nipo hai’- Hayo ndiyo maelezo ya Staa wa Bongo Movies Salma Jabu ‘Nisha’ mara baada ya Wezi kumvamia na kukomba vitu baadhi kama unavyoona hapo juu pichani.

Pole sana Nisha, Mungu akupe nguvu na baraka zaidi.

Mzee wa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

NISHA AWASHTAKIA WEZI KWA MUNGU

Gladness mallya
Baada ya wezi kumfanyia kitu mbaya kwa kumuibia vifaa kibao kwenye gari lake na kuliacha kama gofu, staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’ ameamua kufunga siku saba kwa ajili ya kuwashtaki wezi hao kwa Mwenyezi Mungu. Staa wa filamu Bongo, Salma Jabu ‘Nisha’. Akizungumza na paparazzi wetu, Nisha alisema kwa siku hizo saba ataomba dua maalum na hatatoka nyumbani kwenda sehemu yoyote...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nisha: Wezi Wa Kazi Zetu Wanatushusha....Shabiki Nini Kifanyike?

Ikiwa ni  siku tatu tu! zimebaki kutoa  movie yake mpya HAKUNA MATATA mwigizaji wa kike wa filam hapa bongo, Salma Jabu Nisha kupitia mtandaoni ameonyesha kuumizwa naswala zima la wezi wa kazi za wasanii hapa nchini na kusema ndio kitu pekee kinachaowarudisha nyuma, katika kuelezea swala hilo akaomba mchango wa mawazo ya jinsi ya kulitatua taizo hili.

Nanukuu;

"Swala la msanii kuibiwa ni swala sugu sana,wewe shabiki yetu tukipotea kwenye tasnia utajiskiaje?

Kikubwa kazi zetu zinaibiwa...

 

10 years ago

Bongo Movies

HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka

Inasemekana penzi kati ya waigizaji  Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.

Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.

Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...

 

9 years ago

Vijimambo

BASATA YADAI ADHABU KWA SHILOLE IPO PALE PALE, YASEMA INAKUSANYA USHAHIDI KUMTWANGA NYUNDO NYINGINE

Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye.
Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa.Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa kwa Shilole imetokana na sheria na kanuni zilizotokana na bunge na kwamba kwa sasa wanakusanya ushahidi ili kuchukua...

 

9 years ago

Bongo5

BASATA ladai adhabu kwa Shilole ipo pale pale, yadai inakusanya ushahidi kumtwanga nyundo nyingine

Shilole anaweza akawa anafurahia bata za Marekani baada ya kutumbuiza kwenye show nchini humo, lakini bado BASATA haijamalizana naye. Katibu Mtendaji wa baraza la sanaa la taifa, BASATA, Geofrey Mngereza ameiambia Radio 5 ya Arusha kuwa adhabu aliyopewa Shilole ya kufungiwa kutojihusisha kwenye masuala ya sanaa kwa mwaka mmoja haijafutwa. Mngereza alidai kuwa adhabu iliyotolewa […]

 

10 years ago

GPL

Hapa Emerson, pale Tegete …

Mshambulriaji wa Yanga, Jerry Tegete. Na Wilbert Molandi
KUTUA kwa kiungo mkabaji mpya wa Yanga Mbrazili, Emerson Oliveira na kuondoka kwa mshambuliaji, Geilson Santos Santana ‘Jaja’ kumefumua kikosi cha kwanza cha kocha, Marcio Maximo. Emerson ametua nchini siku tatu zilizopita akitokea Brazil kwa ajili ya kufanya majaribio Yanga akichukua nafasi ya Jaja aliyeshindwa kurejea kujiunga na wenzake kutokana na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!

Mrembo na mwigizaji wa filamu,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ ,  ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.

Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale: Amanda Ajipoza Machungu na Paka!!

Mrembo na mwigizaji  wa filamu, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu.

Akipiga stori na GPL, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa kuwapata ndiyo maana ameamua kumtunza paka huyo mdogo mwenye miezi miwili ambapo anampa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kumpakata kama mtoto.

“Jamani haka ndiyo kabebi kangu ninakapenda sana na...

 

10 years ago

Bongo Movies

Hapa na Pale: Ray Amtapeli Upya Johari

Gazeti la udaku la KIU, limeripoti kuwa hali ndani ya kampuni ya RJ inaendelea kutokuwa shwari kwa kile kinachodaiwa kuwa kuwa wakurugenzi waanzilishi wa kampuni hiyo Vicent Kigosi ‘Ray’ na Blandina Chagula ‘Johari’ kutokuwa na maelewano mazuri na sasa ikidawa kuwa chanzo ni pesa kutoka kwa wadhamni waliokuwa  wakihitaji  kudhamini filamu inayotengenezwa na makampuni hayo.

Chazo hicho ambacho kipo ndani ya kampuni hiyo kilisema kuwa pesa hizo zilitolewa na mfanyabiashara maarufu ambaye...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani