Hapa na Pale: Amanda Ajipoza Machungu na Paka!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu.
Akipiga stori na GPL, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa kuwapata ndiyo maana ameamua kumtunza paka huyo mdogo mwenye miezi miwili ambapo anampa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kumpakata kama mtoto.
“Jamani haka ndiyo kabebi kangu ninakapenda sana na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLAMANDA AJIPOZA MACHUNGU NA PAKA!
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
Vijimambo25 Nov
MACHUNGU YA UFISADI WA ESCROW YAANZA KUONEKANA ,SHILINGI YATANZANIA YASHUKA RASMI,SOMA HAPA KUJUA.
Dar es Salaam. Hatua ya wahisani kuzuia Sh1 trilioni za misaada ya kibajeti kwa Serikali kutokana na kashfa ya IPTL na wasiwasi wa Uchaguzi Mkuu mwakani, ni miongoni mwa sababu za kuporomoka kwa kasi thamani ya Shilingi nchini, imefahamika.
Wakizungumza kwa nyakati tofauti wiki iliyopita, wasomi na wadau wa biashara nchini walisema sababu nyingine ni uagizaji na uuzaji bidhaa nje ya nchi.
Kwa mujibu wa takwimu za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) Januari 2, mwaka huu, Dola moja ya Marekani ilikuwa...
10 years ago
GPLHapa Emerson, pale Tegete …
10 years ago
Bongo Movies16 Feb
Hapa na Pale: Ray Amtapeli Upya Johari
Gazeti la udaku la KIU, limeripoti kuwa hali ndani ya kampuni ya RJ inaendelea kutokuwa shwari kwa kile kinachodaiwa kuwa kuwa wakurugenzi waanzilishi wa kampuni hiyo Vicent Kigosi ‘Ray’ na Blandina Chagula ‘Johari’ kutokuwa na maelewano mazuri na sasa ikidawa kuwa chanzo ni pesa kutoka kwa wadhamni waliokuwa wakihitaji kudhamini filamu inayotengenezwa na makampuni hayo.
Chazo hicho ambacho kipo ndani ya kampuni hiyo kilisema kuwa pesa hizo zilitolewa na mfanyabiashara maarufu ambaye...
10 years ago
Bongo Movies04 Feb
Hapa Na Pale: Lulu Awa Mtamu Chuoni!!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu, Elizabeth Michael ‘Lulu’ , ambae kwa sasa ameamua kupiga kitabu , anadaiwa kuwafunika kimasomo wanafunzi wenzake katika Chuo cha Utumishi wa Umma Tanzania (TPSC) kilichopo Magogoni-Posta jijini Dar.
Akizungumza hivi karibuni chuoni hapo, mmoja wa wanafunzi wanaosoma na mwigizaji huyo aliyeomba hifadhi ya jina lake alisema Lulu amekuwa akihudhuria vizuri darasani na kufanya vyema kwenye masomo yake mbalimbali zaidi ya...
10 years ago
Bongo Movies26 Feb
Hapa na Pale: Chuchu Azirai Ndani ya Jeneza!
Chuchu Hans amejikuta akizirai ndani ya jeneza wakati akiigiza sini ya kifo kwenye filamu. Chuchu alikumbwa na hali hiyo hivi karibuni akiwa ‘lokesheni’ ya kuigizia filamu hiyo maeneo ya Mbezi ya Kimara jijini Dar es Salaam ambapo sanjari na yeye, msanii mwingine aliyecheza nafasi ya mwanakwaya naye alipoteza fahamu wakati kipande hicho kikirekodiwa.
Chanzo kimoja kutoka ndani ya kundi la wasanii waliokuwa wakiigiza filamu kililiambia Gazeti la Amani kuwa, Chuchu alikumbwa na hali hiyo...
10 years ago
Bongo Movies15 Jan
Hapa na Pale:Kajala Atakiwa Aachie Mume wa Mtu!!
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo na mvuto wa kiafrika zaidi, Kajala Masanja amedaiwa kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu. Kwa mujibu wa gazeti la udaku la Amani, mwanamke aliyejitambulisha kwa jina moja la Pamela ameibuka na kumtaka muigizaji huyo kuacha kumfuata mume wake.
Mwanamama huyo, anayefanya kazi ‘nzuri’ katika shirika moja kubwa nchini, aliliambia gazeti hili kuwa Kajala, amekuwa akitembea na mumewe aliyemtaja kwa jina moja la Tanaluza ambaye kwa sasa yuko ndani katika...
10 years ago
Bongo Movies11 Jan
Hapa na Pale:Uwoya Amzimia Rais Uhuru Kenyatta!!!
<span 1.6em;"="">Mrembo na mwigizaji anaewachanganya wengi kwa umbo lake matata, Irene Uwoya leo mtandaoni amewake wazi hisia zake za kumzimia rais wa sasa wa Kenya, Uhuru Kenyatta, kwa kutupia picha ya rais huyo akiwa amevalia nguo ya kijeshi na kuandika “I jus lov him............”.
Kitendo hiki kilichukuliwa kwa mtazamo tofauti na mashabiki wake, wengine wakisema kuwa anampenda kwamaana ya upendo wa kawaida huku wengine wakisema hii ni ule upendo wa kimapenzi.
Haya wale mnaojua...