Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo16 Jan
Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
![](http://www.bongomovies.com/public/uploads/AMANDA10.jpg)
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
Bongo Movies26 Jan
Hapa na Pale: Amanda Ajipoza Machungu na Paka!!
Mrembo na mwigizaji wa filamu, Sabrina Poshi ‘Amanda’ ameonekana kama anajipoza machungu kwa kugeuza paka kuwa kama mtoto wake kwa kumpakata na kumtunza kama binadamu.
Akipiga stori na GPL, Amanda alisema amefikia hatua hiyo kutokana kwa sababu anapenda sana watoto hivyo kwa kuwa hajajaliwa kuwapata ndiyo maana ameamua kumtunza paka huyo mdogo mwenye miezi miwili ambapo anampa mahitaji muhimu ikiwa ni pamoja na kumpakata kama mtoto.
“Jamani haka ndiyo kabebi kangu ninakapenda sana na...
10 years ago
Bongo Movies19 Jan
Hapa na Pale:‘Wema Aniachie Bob Junior Wangu'
UBUYU! Siku chache baada ya kuripotiwa kwa tukio la staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu kunaswa kimalovee na Rais wa Masharobaro, Raheem Rummy Nanji ‘Bob Junior’, mwigizaji chipukizi, Bozi ameibuka na kudai ‘Wema niachie Bob Junior wangu’.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, mara baada ya habari hiyo kuruka hewani kupitia gazeti tumbo moja na hili, Amani la wiki iliyopita, mrembo huyo alipoziona picha za wawili hao alipoteza fahamu.
Akizungumza na GPL huku akiangua kilio, Bozi alisema...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/N9SP9Z4W-DdzS2kvR6iYzlJYL1MEtcrHsxeuJh3RZ5h*Js1ba4mN1U6f44ZeqwFJ0RfODszavwBRz3QiS5mAcXDsalBGsrhB/Amanda.jpg)
AMANDA AGOMA KUMUANIKA BWANA KISA KUIBIWA
10 years ago
CloudsFM12 Nov
NAY WA MITEGO: SITAKI WATOTO WANGU WAFANYE MUZIKI
Staa wa Bongo Flava ambaye ana tuzo ya wimbo bora wa Hip hop, Nay Wa Mitego amefunguka kuwa hataki watoto wake wawe wanamuziki kama yeye. ‘’Mimi ni mwanamuziki na nimepata mafanikio kupitia kazi hii lakini sitaki watoto wangu wawe wanamuziki’’,alisema Nay Wa Mitego.
10 years ago
Bongo Movies28 Mar
Picha: ‘Na Mwanangu Bila Kumsahau Mkwe Wangu.. Sitaki Maswali”-JB
Hii ni moja kai ya picha iliyofagiliwa na wengi wiki hii huko Instagram, inajumuisha mstaa wakali kutoka Bongo Movies, JB, Ray na Wema Sepetu.
Mbali na wengi kubonyeza kitufe ya kupenda na kutupia maneno kwenye picha hii, alichokiandika JB mara baada ya kubandika picha hii ndicho kilicho changamsha genege.
JB aliandiaka;
‘Na mwanangu bila kumsahau mkwe wangu.. Sitaki maswali”
Mimi hapa nikajiongeza, hapa nazungumziwa Wema lakini ni utani tu, wewe je?.
Mzee wa Ubuyu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4OmpjP-Si3cQpMuPzNIdGJk0lVXQ66E-DnE3YMCAm1ZHf*XOyIzFp0wWxWbfK7*vfMt7XTV6c5Vrq8HYzM5BLh/LUUUUUUUUU.jpg)
LUNGI: MTU AMSHOBOKEE BWANA WANGU AONE
9 years ago
MillardAyo25 Dec
Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video)
Ndugu jamaa na marafiki walijikuta wakiendelea na ratiba ya mazishi kwa mtindo wa sherehe baada ya bwana harusi kufariki… bibi harusi nae ilibidi akubaliane na ukweli kwamba ndoa yao imekatishwa na kifo cha mume mtarajiwa. Kifo cha bwana harusi John Mwangi kilitokana na ajali baada ya gari kutumbukia mtoni maeneo ya Kabarnet, Kaunti ya Baringo Kenya… […]
The post Pale ambapo sherehe ya harusi inalazimika kuendelea japo bwana harusi kafariki… (+Video) appeared first on...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/alJLWH62eMRe0KbYwsTbPfXiNUQdOMW9JT0JS*xfevSgiwlKp2tgpokvxEYG0SuXmZaF73drJHCQgH7dfycZMfemWGyCmrJA/1.jpg)
Hapa Emerson, pale Tegete …