LUNGI: MTU AMSHOBOKEE BWANA WANGU AONE
STORI: HAMIDA HASSAN Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga amesema mwanaume aliyezaa naye (jina ni siri yake) anampenda sana na mwanamke asiyejipenda amshobokee aone kitakachompata. Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Mwaulanga. Akipiga stori na Ijumaa Lungi amesema anajua kuwa wapo wanawake ambao wakiamua kutembea na waume za watu hawashindwi lakini akasema, kwa bwana wake aliyezaa naye akigundua kuna anayemnyemelea,...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLWOLPER ADAIWA KUPORA BWANA WA LUNGI, AJITETEA
10 years ago
Vijimambo16 Jan
Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
10 years ago
Bongo Movies16 Jan
Hapa na Pale:Sitaki Kumtambulisha Bwana Wangu wa Sasa, Wataniibia!!-Amanda
Mwigizaji wa filamu mwenye umbo la lenye mvuto wa aina yake, Tamrina Posh ‘Amanda’ amefunguka kuwa anaogopa kumtambulisha bwana wake wa sasa kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa.
Akizu ngumza na paparazi wa GPL juzikati, Amanda alisema ameishi kwa muda mrefu na mpenzi wake bila kuhitilafiana kwa sababu wengi hawamjui, lakini anahofia akimuanika wasichana wataanza kumfuatafuata na kumwiba.
“Kumtambulisha bwana wangu wa sasa sitaki, naogopa wadada wa mjini hawakawii kumzengea zengea na...
11 years ago
GPLLULU KATIKA SKENDO YA KUPORA BWANA WA MTU
11 years ago
GPLLULU: OLE WAKE MTU AMFUATE BWANA’NGU
10 years ago
Vijimambo31 Mar
MIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA? - 2
Karibuni sana wasomaji wangu wapendwa katika safu hii maalum kwa ajili ya kuelekezana mambo mbalimbali yanayohusu maisha kwa ujumla hasa upande wa mapenzi kama siyo mahaba.Mfano wa mambo hayo ni namna wenza wanaoishi na ndugu au wazazi wao wanavyopaswa kuishi kwa hekima bila kuwakwaza.
Kujiepusha na kauli zisizofaa ambazo mara nyingi zimekuwa zikiharibu uhusiano wao, kujiweka katika mazingira ya usafi wa nyumba na mavazi.Mambo mengine ni kuwa waaminifu katika uhusiano wao kwa sababu wenza...
9 years ago
MillardAyo20 Dec
Mtu wa nguvu na watu wangu wa chuo Jana Dec 19 #TIGOuniversityVIP
Tigo imekua ikitoa nafasi za watu wa nguvu kwenye vyuo vya UDSM, IFM, CBE- DAR, Utumishi Mtwara na Mzumbe Morogoro kuenjoy weekend zao na marafiki baada ya kushinda kwenye droo ambayo inachezeshwa kutokana na Wanachuo wanaosogelea gulio la Tigo chuoni kwake na kufanya chochote kinachopatikana. Sasa usiku wa Dec 19 2015 washindi watatu kutoka kwenye […]
The post Mtu wa nguvu na watu wangu wa chuo Jana Dec 19 #TIGOuniversityVIP appeared first on TZA_MillardAyo.
10 years ago
GPLMIMI ‘MTU WANGU MZUNGU’ NDIYO NINI SASA?