LULU KATIKA SKENDO YA KUPORA BWANA WA MTU
![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Tb3zcBOlaSs8H3zhQGDz6DWeIoeg8sYpfhKveJlj2Xn4bSitpXOF4*GvEbfOQUhTStq1CMvqLMUGHcHvbMFGehx/lulu.jpg?width=650)
E LIZABETH Michael ‘Lulu’ anayetesa katika filamu za Kibongo, yupo kwenye bifu zito na mshiriki wa Miss Tanzania mwaka 2012, Husna Maulid ambaye anadai amempora bwana’ke. Staa Elizabeth Michael ‘Lulu’ katika pozi. Habari zinaeleza bifu lao limefikia hatua ya kuanikana waziwazi hadi kumwagiana matusi kwenye mitandao ya kijamii, hasa Instagram lakini huondoa majibizano yao machafu kila baada ya...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/bf3qBTWMVA*kjR3rCT8Ofjy6LC8aBLDcEg1nJWu5tg2po5nysR3FKGDS03g6Y-TmlYBZWH-cOMR2-Dou9RJCmS3UT*MfZzS4/REHEMA.jpg?width=650)
LULU: OLE WAKE MTU AMFUATE BWANA’NGU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HzbY9S4OGWu0vnF-NHjua2cfqlkXo8kWu51*reEgRGfaKxA86x2L*x-el2RKwfFfe9Cx1Yj826aJ9xLNim7psFpoYB2JzKUI/rosendauka.jpg)
ROSE NDAUKA AFUNGUKIA SKENDO YA KUPORA WAUME ZA WATU!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhB63uBwXjtG3xar4ZTI2THLclXz43Nw-sjxveVV4lkxwhd1F9SIizejTTxrYYtfct-mCh1ZJSn4Hj0furS8kQ-/WOLPER.jpg?width=650)
WOLPER ADAIWA KUPORA BWANA WA LUNGI, AJITETEA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aq07GQXjwH2SURthfbVsPAFE0e3ME7uIr9FANtFC2cv3uai*sembQ*zmjmWZAEikLcwkPLiGq*vatn9QhP34ziOGyagRbQHe/5queen.jpg?width=650)
QUEEN MAGALI NA SKENDO YA MUME WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/8KNI8B2SjT2XoC4UL*-F1qL9B13332NKIh*xDQBzeq1EPOqEdWHQIar5NlHa6UEN*Xg9RXG1qmSg1YtuVo8XvWi-2tfIlI2g/FRONTIJUMAA.jpg)
SKENDO! LULU, WOLPER WAONESHANA JEURI YA MABWANA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaey0GJlNkSjXbqV1bEGkG2xg324epB5GpnuZ5dH5rtj8pQFmrPqwnV9N5Yx-eSGpW86PZflkj*1kvtRhqlwnO6/lulu.jpg)
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
9 years ago
Bongo Movies21 Nov
Mobeto: Lulu Kanipora Bwana!
MAPENZI ya mjini utata mtupu! Ni kauli inayostahili kutumika baada ya mwanamitindo maarufu Bongo, Hamisa Hassan Mobeto kumwaga chozi akidai kuporwa bwana’ke aliyekuwa akimpa jeuri mjini (jina tunalo) huku zigo la lawama likimwangukia staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’.
CHANZO KINASEMAJE?
Habari kutoka kwa chanzo makini zilieleza kwamba, kwa sasa kuna bifu jipya linalotokota mjini likihusisha sakata la Lulu kumpiku Mobeto kwa bwana’ke aliyekuwa akimgharamia kiasi cha kuwa...
10 years ago
Vijimambo13 Feb
MAMA AMKATAA BWANA’KE LULU
![](http://api.ning.com/files/p9piKYn1mVKSrhsPxBOH877sJ-WcN8QVQKyu0V8BJYyY3FlYjU7YEJw88esuPF7l-S-9sRUbajn4Tk2deYeHjZ9JeTnaVFPG/mamalulu.jpg)
Stori: Imelda Mtema/AmaniKufuatia kauli yake ya hivi karibuni kuwa nyumba anayomiliki ilitokana na mchango wa bwana’ke (hakumtaja jina), mama mzazi wa staa wa sinema za Kibongo, Elizabeth Michael ‘Lulu’, Lucresia Karugila ameibuka na kumkataa mwanaume huyo.Kwa mujibu wa Lulu, nyumba hiyo iliyopo Kimara jijini Dar ameijenga kwa kusaidiana na bwana’ke kwa mtindo wa pasu kwa pasu (kuchangia nusu kwa...