WOLPER ADAIWA KUPORA BWANA WA LUNGI, AJITETEA
![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhB63uBwXjtG3xar4ZTI2THLclXz43Nw-sjxveVV4lkxwhd1F9SIizejTTxrYYtfct-mCh1ZJSn4Hj0furS8kQ-/WOLPER.jpg?width=650)
Hamida Hassan na Gladnes Mallya Staa wa filamu za Kibongo, Lungi Maulanga amemshangaa msanii mwenzake Jacqueline Wolper kwa kutoka kimapenzi na mwanaume wake aitwaye Jimmy. Staa wa filamu za Kibongo, Jackline Wolper. Sosi wa karibu na mastaa hao alidai kuwa, baada ya hivi karubuni gazeti ndugu na hili la Risasi Jumamosi kuandika kuwa Wolper amepata kigogo mpya aitwaye Jimmy, Lungi alishangaa, akajiuliza imekuwaje tena Wolper...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/17StHKe5zK4OmpjP-Si3cQpMuPzNIdGJk0lVXQ66E-DnE3YMCAm1ZHf*XOyIzFp0wWxWbfK7*vfMt7XTV6c5Vrq8HYzM5BLh/LUUUUUUUUU.jpg)
LUNGI: MTU AMSHOBOKEE BWANA WANGU AONE
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NvWHU5oq4Tb3zcBOlaSs8H3zhQGDz6DWeIoeg8sYpfhKveJlj2Xn4bSitpXOF4*GvEbfOQUhTStq1CMvqLMUGHcHvbMFGehx/lulu.jpg?width=650)
LULU KATIKA SKENDO YA KUPORA BWANA WA MTU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/O3p1FaWf5AcYU55Z387l*oU11ijnVy2MEpa*m5qLx7yw2Ar0jGcWH8239ja2g3rbIuTDsdBJVtunb3R6HW2WUUa4aY7gIdup/s.jpg?width=650)
LUNGI ADAIWA KUTUPIWA JINI, APOOZA
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/WA*Dv5OWc2iUv78M6iXhNtflMr7kUh1WmHNrG6C6P3jylp1psW2732d3yISE-yrJao-3vv8x5lpdSjGvaRV3YH7GE3kxT5ru/siri.jpg?width=650)
SHUMILETA ADAIWA KUMUUZA LUNGI KWA MWANAUME
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6a5PFsZZPEQakBhErJYLgofsVReWXq4O2*c6Kqif5JHJmre3hIfeVcyHzdyiZr9shuDxe4hx*or7cbFOo-Zggsf/nisoo.jpg?width=650)
MFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Snura Adaiwa Kupora Mume wa Davina
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake ambae ni staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL , kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo.
“Yaani mastaa wa Bongo bwana, wanapenda sana kuchukuliana mabwana. Huyu Snura...
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...