MFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE
![](http://api.ning.com:80/files/NnMed0rJC6a5PFsZZPEQakBhErJYLgofsVReWXq4O2*c6Kqif5JHJmre3hIfeVcyHzdyiZr9shuDxe4hx*or7cbFOo-Zggsf/nisoo.jpg?width=650)
Stori: Joseph Ngilisho, Arusha KIGOGO wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ (38) anadaiwa kupora mke wa mtu, Violet Herman Masawe (29) huku ikisemekana anatumia jeuri ya fedha kumnyanyasa mwenye mke. Kigogo wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ anayedaiwa kupora mke wa mtu. ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/XswnwlaLlAh92Nn5-xKrvxXM6tMarG-Ir8P0aMBGPKaDy-wi*t5y6baPFzM*MbAEuK3R52VnM3XmSvt-zl16hn7tu1LURJkY/3.jpg?width=650)
SNURA ADAIWA ADAIWA KUPORA MUME WA DAVINA
10 years ago
Bongo Movies16 Mar
Snura Adaiwa Kupora Mume wa Davina
Staa wa muziki wa mduara, Snura Mushi ameingia katika tuhuma nzito akidaiwa kutoka kimapenzi na mume wa rafiki yake ambae ni staa wa Bongo Movies, Halima Yahya ‘Davina’.
Kwa mujibu wa chanzo cha GPL , kwa kipindi kirefu, Snura amekuwa akionekana nyakati za usiku akiwa na mume wa Davina, wakati mwingine mwanaume huyo anaenda nyumbani kwa Snura au wawili hao kuzungumza kwa muda mrefu ndani ya gari la mwanaume huyo.
“Yaani mastaa wa Bongo bwana, wanapenda sana kuchukuliana mabwana. Huyu Snura...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/jEI2iEfKUOhB63uBwXjtG3xar4ZTI2THLclXz43Nw-sjxveVV4lkxwhd1F9SIizejTTxrYYtfct-mCh1ZJSn4Hj0furS8kQ-/WOLPER.jpg?width=650)
WOLPER ADAIWA KUPORA BWANA WA LUNGI, AJITETEA
11 years ago
Tanzania Daima13 Jul
Mwekezaji adaiwa kupora ardhi hekari 3,700
BAADHI ya wananchi wa Kijiji cha Bihata, Kata ya Kyebitembe Wilaya ya Muleba mkoani Kagera, wamedai kuporwa ardhi yao ipatayo hekari 3,700 na mwekezaji, Diolex Joseph. Pia wananchi hao wanalalamikia...
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli
MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mfanyabiashara adaiwa kubaka
MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli mil. 8/-
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mfanyabiashara Rajabu Gafa (39) kwa tuhuma za kumtapeli mwanamke sh milioni 8, pete pamoja na mikufu ya dhahabu ambayo thamani yake haijajulikana. Kamanda wa...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/I0fvYV0V5N5iLqqYx8ZQqZslXyQ34vPBpWEv53mWe2hjTAW-BcO53GbPIg0aB8smu38D8DbZQn803SU0eC-Zp77Ws8lhcmT2/mke.jpg?width=650)
MKE ADAIWA KUMUUA MUMEWE!