Mfanyabiashara adaiwa kutapeli mil. 8/-
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mfanyabiashara Rajabu Gafa (39) kwa tuhuma za kumtapeli mwanamke sh milioni 8, pete pamoja na mikufu ya dhahabu ambayo thamani yake haijajulikana. Kamanda wa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli
MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.
11 years ago
Habarileo09 Jun
Katibu wa CCM adaiwa kutapeli
KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya, Rojar Akuku anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kujipatia Sh milioni 11 kwa udanganyifu.
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO619snggPyYQQrvmM8b8hwZmcb2SltnvZDke72BUwws0T9ON9aXbMYD26NcV4Z4vWVx1IPFnsxBgUvZ*DQqIpXv/shilole.jpg)
SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZQMXQaOfh8nrO-Uqkyud4JFbTBZNvVY5lz6Qx8cqWNPbV8BErbguQQDbsyUTeYicM6Recm0P4QIbdbJRtCYMVu/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU ADAIWA KUTAPELI LAKI MOJA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXalAWcbM7SQ3UaaUMtaJL0yg9bYy7TR6CCcjxUTWRbdW7rcXZ*Ts0yWavJLF14irUs8BFIoCdJ9s7xcHiHpz6hu/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXrgQe*-cCKl7G-KzeACf6aEUd6qeWszaXIkBAydbreZz34n2fd8wMDVIr6pxpw8ctsAuvv4OBefeAPlyUORvoy/Mvungi.jpg)
FLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU
11 years ago
Habarileo22 Jan
Anadaiwa kutapeli mil.40/- jela miaka 3
MKAZI wa Kijitonyama jijini Dar es Salaam, Asha Mbaraka (54) aliyekuwa anakabiliwa na mashitaka ya kujipatia Sh milioni 40 kwa njia ya udanganyifu, amehukumiwa kifungo cha miaka mitatu jela bila kuwepo mahakamani.
10 years ago
Habarileo29 Jan
Ofisa elimu kortini kwa kutapeli mil 5.4/-
OFISA Elimu wa Sekondari wa Halmashauri ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Julius Mduma amefikishwa kwenye Mahakama ya Wilaya ya Kiteto na kushtakiwa kwa kosa la kujipatia Sh 5.4 milioni kwa njia ya udanganyifu.
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mfanyabiashara adaiwa kubaka
MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.