SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO619snggPyYQQrvmM8b8hwZmcb2SltnvZDke72BUwws0T9ON9aXbMYD26NcV4Z4vWVx1IPFnsxBgUvZ*DQqIpXv/shilole.jpg)
Stori: Emelder Tarimo MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga. Muigizaji ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ Samir alisema: “Shilole aliomba...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yO1JdgjIDGZQMXQaOfh8nrO-Uqkyud4JFbTBZNvVY5lz6Qx8cqWNPbV8BErbguQQDbsyUTeYicM6Recm0P4QIbdbJRtCYMVu/mafufu.jpg?width=650)
MAFUFU ADAIWA KUTAPELI LAKI MOJA
11 years ago
Habarileo20 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli
MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli mil. 8/-
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mfanyabiashara Rajabu Gafa (39) kwa tuhuma za kumtapeli mwanamke sh milioni 8, pete pamoja na mikufu ya dhahabu ambayo thamani yake haijajulikana. Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo09 Jun
Katibu wa CCM adaiwa kutapeli
KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya, Rojar Akuku anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kujipatia Sh milioni 11 kwa udanganyifu.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/HbsRLQ*GNXalAWcbM7SQ3UaaUMtaJL0yg9bYy7TR6CCcjxUTWRbdW7rcXZ*Ts0yWavJLF14irUs8BFIoCdJ9s7xcHiHpz6hu/rose.jpg)
ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/gikBPgJguSXrgQe*-cCKl7G-KzeACf6aEUd6qeWszaXIkBAydbreZz34n2fd8wMDVIr6pxpw8ctsAuvv4OBefeAPlyUORvoy/Mvungi.jpg)
FLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU
10 years ago
GPLMSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE APATIKANA
10 years ago
GPLMSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE MWANZA APATIKANA
10 years ago
CloudsFM24 Nov
BIBI CHEKA ANATAFUTA LAKI MBILI ILI AWEZE KUVUNJA NYUMBA YA UDONGO NA KUJENGA YA MATOFALI
Msanii wa Hip Hop Bongo, mwenye umri mkubwa kuliko wote, Bibi Cheka, wiki iliyopita kupitia Clouds Fm alifunguka kuwa alikuwa anaumwa na ameanza kurudi kwenye hali yake baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita, Bibi Cheka pia akaonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo muda wowote ;label’ yake ya Mkubwa Na Wanae wataiachia.
Kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi Bibi Cheka pande za Bunju jijini Dar Es Salaam, kwenye kichumba cha udongo,...