Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfanyabiashara adaiwa kutapeli

MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mfanyabiashara adaiwa kutapeli mil. 8/-

JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mfanyabiashara Rajabu Gafa (39) kwa tuhuma za kumtapeli mwanamke sh milioni 8, pete pamoja na mikufu ya dhahabu ambayo thamani yake haijajulikana. Kamanda wa...

 

11 years ago

Habarileo

Katibu wa CCM adaiwa kutapeli

KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya, Rojar Akuku anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kujipatia Sh milioni 11 kwa udanganyifu.

 

10 years ago

GPL

ROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!

Na Andrew Carlos MWANAMUZIKI mkali wa nyimbo za Injili, Rose Muhando amedaiwa tena kuhusika katika utapeli wa shilingi milioni mbili. Mwanamuziki wa nyimbo za Injili, Rose Muhando. Muandaaji wa shoo hiyo, Ibrahim alidai kuwa Rose alitumiwa kiasi hicho cha pesa kama sehemu ya malipo ya kazi hiyo iliyokuwa ifanyike Jumapili iliyopita katika Ukumbi wa Hoteli ya Landmark uliopo Ubungo, jijini Dar lakini hakutokea. “Huu ni...

 

11 years ago

GPL

MAFUFU ADAIWA KUTAPELI LAKI MOJA

Stori: Mayasa Mariwata MSANII wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu amekanyaga skendo ya utapeli baada ya msanii chipukizi aliyefahamika kwa jina la  Msanii wa filamu Bongo, Jimmy Mafufu. kumpatia kiasi cha shilingi laki moja ili amfanyie mpango wa kujiunga Bongo Movie lakini akaingia mitini. “Kujiunga na Bongo Movie ni shilingi laki moja ambayo nilimkabidhi na fomu ya kujiunga akanipa nikajaza, cha ajabu mpaka sasa...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI

Stori: Emelder Tarimo MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga. Muigizaji ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ Samir alisema: “Shilole aliomba...

 

10 years ago

GPL

FLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU

Hamida Hassan na Gladness Mallya
Mwanadada Flora Mvungi anayeendesha maisha yake kwa kuuza nyago kwenye filamu, hivi karibuni aligandwa na skendo ya kutapeli pesa za upatu za dada aliyefahamika kwa jina la Christina ambaye ilikuwa imefika zamu yake ya kupokea. Staa wa filamu Bongo, Flora Mvungi. Sosi wa habari hii alisema kuwa, Flora baada ya kupokea fedha hizo za upatu aliendelea na shughuli zake kama kawaida lakini ilipofika...

 

11 years ago

Habarileo

Mfanyabiashara adaiwa kubaka

MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.

 

11 years ago

GPL

MFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE

Stori: Joseph Ngilisho, Arusha KIGOGO wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ (38) anadaiwa kupora mke wa mtu, Violet Herman Masawe (29) huku ikisemekana anatumia jeuri ya fedha kumnyanyasa mwenye mke. Kigogo wa kampuni ya kuchimba madini ya Afgem iliyopo Mererani mkoani Manyara, Abdallah Mwakaleja ‘Dullah’ anayedaiwa kupora mke wa mtu. ...

 

10 years ago

Bongo Movies

HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka

Inasemekana penzi kati ya waigizaji  Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.

Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.

Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani