Mfanyabiashara adaiwa kutapeli
MFANYABIASHARA , Hassan Kombo (41) amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo, kujibu mashitaka ya kujipatia mali kwa njia ya udanganyifu. Karani Hatanao Kitogo alidai mbele ya Hakimu Christine Luguru, Machi 9 mwaka huu huko Zanzibar, Kombo alikabidhiwa mafuta ya chakula dumu 100 ayalete Dar es Salaam.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima30 Mar
Mfanyabiashara adaiwa kutapeli mil. 8/-
JESHI la Polisi mkoani Tanga linamshikilia mfanyabiashara Rajabu Gafa (39) kwa tuhuma za kumtapeli mwanamke sh milioni 8, pete pamoja na mikufu ya dhahabu ambayo thamani yake haijajulikana. Kamanda wa...
11 years ago
Habarileo09 Jun
Katibu wa CCM adaiwa kutapeli
KATIBU Mwenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Rorya, Rojar Akuku anashikiliwa na Polisi kwa tuhuma za kujipatia Sh milioni 11 kwa udanganyifu.
10 years ago
GPLROSE MUHANDO ADAIWA KUTAPELI TENA!
11 years ago
GPLMAFUFU ADAIWA KUTAPELI LAKI MOJA
11 years ago
GPLSHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
10 years ago
GPLFLORA MVUNGI ADAIWA KUTAPELI HELA ZA UPATU
11 years ago
Habarileo10 Jun
Mfanyabiashara adaiwa kubaka
MFANYABIASHARA Edward Kohe (35) mkazi wa Kitunda-Kizuiani, Ilala mkoani Dar es Salaam amepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Ilala kujibu mashitaka ya kubaka.
11 years ago
GPLMFANYABIASHARA WA MADINI ADAIWA KUPORA MKE
10 years ago
Bongo Movies17 Dec
HAPA NA PALE:Chuchu Hans Adaiwa Kumsaliti Ray kwa Mfanyabiashara….Chuchu Afunguka
Inasemekana penzi kati ya waigizaji Chuchu Hans na Visent Kigosi “Ray” limeingia mtegoni baada ya Chuchu Hans kusemekana kumsaliti mpenzi wake Ray kwa jamaa anayedaiwa kuwa ni mfanyabiashara anayeishi maeneo ya Mbezi Beach Dar.
Chanzo kinasema pamoja na Chuchu kuwa na Ray kwa muda wote, lakini inadaiwa kuwa muda fulani amekuwa akitoka na kwenda Mbezi anapoishi kijana huyo.
Hata hivyo paparazi wetu aliamua kumvutia waya Chuchu na kuzungumza naye ishu hiyo ambapo alidai stori hizo...