BIBI CHEKA ANATAFUTA LAKI MBILI ILI AWEZE KUVUNJA NYUMBA YA UDONGO NA KUJENGA YA MATOFALI
Msanii wa Hip Hop Bongo, mwenye umri mkubwa kuliko wote, Bibi Cheka, wiki iliyopita kupitia Clouds Fm alifunguka kuwa alikuwa anaumwa na ameanza kurudi kwenye hali yake baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita, Bibi Cheka pia akaonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo muda wowote ;label’ yake ya Mkubwa Na Wanae wataiachia.
Kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi Bibi Cheka pande za Bunju jijini Dar Es Salaam, kwenye kichumba cha udongo,...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
11 years ago
Dewji Blog25 Apr
Wananchi wahamasishwa kutumia matofali yanayofungamana ya udongo saruji
Afisa Habari toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na Nyumba Bora (NHBRA) Bw. Frimin Lyakurwa akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano uliofanyika Katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO).
Mhandisi wa Ujenzi toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na nyumba bora (NHBRA) Bw. John Twimanye akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu matofali yanayofungamana, ya udongo saruji yanayosaidia kupunguza gharama za ujenzi.wakati wa...
10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu
Sophia Abdul (14)
Na Amon Mtega – Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s72-c/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye jicho lake la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
![](http://3.bp.blogspot.com/-uDECdtWnIpc/VOQpHZ3OPzI/AAAAAAAAHlE/lheEguAGsxo/s1600/MTOTO%2BSOPHIA%2BABDUL.jpg)
Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...
9 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s72-c/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI
![](http://3.bp.blogspot.com/-z8cBGHp90ow/Vmp8l2zXY7I/AAAAAAADDfE/HDOiL1XrWS8/s640/Eliza%2BJuma%2Bakionyesha%2Buvimbe%2Btumboni.jpg)
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...
10 years ago
CloudsFM26 Nov
FELA: WATANZANIA TUMSAIDIE BIBI CHEKA
Jumatatu ndani ya xxl ya Clouds Fm alimsikika msanii mwenye umri mkubwa hapa Bongo,Bibi Cheka akifunguka kuwa kilichomkwamisha kuvunja chumba chake kilichojengwa kwa udongo ili ajenge cha matofali ni shilingi laki mbili, kwa sababu tayari ana matofali zaidi ya 400. Bibi Cheka aliwaomba Watanzania wamsaidie hiyo pesa kwasababu hali yake kiafya siyo nzuri.
Clouds FM imepiga stori na mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanae ambao ndio wana mmiliki Bibi Cheka kama msanii, ili kujua kama wana...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/fF4HFdlaoO619snggPyYQQrvmM8b8hwZmcb2SltnvZDke72BUwws0T9ON9aXbMYD26NcV4Z4vWVx1IPFnsxBgUvZ*DQqIpXv/shilole.jpg)
SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI
10 years ago
GPLMSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE APATIKANA
10 years ago
GPLMSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE MWANZA APATIKANA
10 years ago
Bongo529 Dec
Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka