Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


BIBI CHEKA ANATAFUTA LAKI MBILI ILI AWEZE KUVUNJA NYUMBA YA UDONGO NA KUJENGA YA MATOFALI

Msanii wa Hip Hop Bongo, mwenye umri mkubwa kuliko wote, Bibi Cheka, wiki iliyopita kupitia Clouds Fm alifunguka kuwa alikuwa anaumwa na ameanza kurudi kwenye hali yake baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita, Bibi Cheka pia akaonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo muda wowote ;label’ yake ya Mkubwa Na Wanae wataiachia.

Kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi Bibi Cheka pande za Bunju jijini Dar Es Salaam, kwenye kichumba cha udongo,...

CloudsFM

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Dewji Blog

Wananchi wahamasishwa kutumia matofali yanayofungamana ya udongo saruji

IMG_5589

Afisa Habari toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na Nyumba Bora (NHBRA) Bw. Frimin Lyakurwa  akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano uliofanyika Katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO).

IMG_5554

Mhandisi wa Ujenzi toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na nyumba bora (NHBRA) Bw. John Twimanye akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu matofali yanayofungamana, ya udongo saruji yanayosaidia kupunguza gharama za ujenzi.wakati wa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Mtoto Sophia anaomba msaada ili aweze kupata matibabu

unnamed

Sophia Abdul (14)

 Na Amon Mtega –  Songea

MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye  jicho lake  la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamaria wema.

 Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni...

 

10 years ago

Michuzi

MTOTO SOPHIA ABDUL ANAOMBA MSAADA WAKO ILI AWEZE KUPATA MATIBABU

 Na Amon Mtega -  Songea
MTOTO Sophia Abdul (14) anayesoma shule ya msingi Lilahi darasa la tano iliyopo kata ya Mhukulu wilaya ya Songea vijijini mkoani Ruvuma amekumbwa na ugonjwa usiofahamika ambao umejitokeza kwenye  jicho lake  la kulia lililo vimba na kutokezea nje hali inayomletea maumivu makali na kushindwa kwenda shule huku akiomba msaada kwa wasamalia wema.
 Akiongea na waandishi wa habari katika ofisi za elimu za wilaya hiyo mama wa mtoto huyo Joyce Nyoni alisema kuwa mwanae...

 

9 years ago

Michuzi

MSAADA MKUBWA UNAHITAJIKA KWA DADA ELIZA ILI AWEZE KUFANYIWA UPASUAJI WA UVIMBE TUMBONI

Eliza Juma (30), mkazi wa Mtaa wa Mbwanga Manispaa ya Dodoma anaomba msaada wa hali na mali kutoka kwa yeyote ataeguswa ili aweze kufanyiwa upasuaji wa uvimbe tumboni ambao umekuwa ukiongezeka kila siku.
Akizunguma na waandishi wa habari mjini hapa Dodoma, alisema kuwa uvimbe huo ambao umekuwa ukiongezeka kila siku umekuwa kikwazo kwake katika kutekeleza majukumu yake ya kujipatia kipato.
Alisema kuwa uvumbe huo unaotokana na yeye kufanyiwa upasuaji wa utumbo aliofanyiwa miaka miwili...

 

10 years ago

CloudsFM

FELA: WATANZANIA TUMSAIDIE BIBI CHEKA

Jumatatu ndani ya xxl ya Clouds Fm alimsikika msanii mwenye umri mkubwa hapa Bongo,Bibi Cheka akifunguka kuwa kilichomkwamisha kuvunja chumba chake kilichojengwa kwa udongo ili ajenge cha matofali ni shilingi laki mbili, kwa sababu tayari ana matofali zaidi ya 400. Bibi Cheka aliwaomba Watanzania wamsaidie hiyo pesa kwasababu hali yake kiafya siyo nzuri.


Clouds FM imepiga stori na mkurugenzi wa kituo cha Mkubwa na Wanae ambao ndio wana mmiliki Bibi Cheka kama msanii, ili kujua kama wana...

 

11 years ago

GPL

SHILOLE ADAIWA KUTAPELI LAKI MBILI

Stori: Emelder Tarimo MUIGIZAJI ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ amegandwa na madai ya utapeli kufuatia jamaa mmoja aitwaye Samir kuibuka na kudai kuwa, walimpa shilingi laki mbili ili awakodishie madansa kwa ajili ya video yao lakini mpaka sasa anachenga. Muigizaji ambaye kwa sasa amejikita kwenye muziki, Zuena Mohammed ‘Shilole’ Samir alisema: “Shilole aliomba...

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE APATIKANA

Mshindi akikabidhiwa zawadi na miongoni mwa wahariri wa gazeti hilo, Elvan Stambuli. Asia akionesha fedha alizojishindia.…

 

10 years ago

GPL

MSHINDI WA SH. LAKI MBILI ZA GAZETI LA UWAZI MIZENGWE MWANZA APATIKANA

Hassina Jumanne Saidy akionesha fedha alizojishindia baada ya  kubahatika  kuiona stika maalumu  ndani ya Gazeti la Uwazi Mizengwe ya Uchaguzi. Muakilishi wa Global Publishers jijini Mwanza, Ali Masumbuko akimkabidhi shilingi laki mbili taslimu Hassina Jumanne Saidy .…

 

10 years ago

Bongo5

Fella adai alipigwa mkwara na mashehe kwa kumvalisha suruali Bibi Cheka

Said Fella amedai kuwa mashehe walihi kumfuata na kumtaka aache tabia ya kumvalisha suruali Bibi Cheka. Akizungumza kwenye kipindi cha Mkasi TV, Fella alisema mashehe hao walimfuata na kumwambia Bibi Cheka anatakiwa kuswali na sio kufanya muziki. “Kuna muda si unajua dini yangu ya Kiislam wakatokea mashehe ‘ehh bwana unajua yule bibi mzee, kwanini mnamvalisha […]

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani