Wananchi wahamasishwa kutumia matofali yanayofungamana ya udongo saruji
Afisa Habari toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na Nyumba Bora (NHBRA) Bw. Frimin Lyakurwa akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano uliofanyika Katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO).
Mhandisi wa Ujenzi toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na nyumba bora (NHBRA) Bw. John Twimanye akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu matofali yanayofungamana, ya udongo saruji yanayosaidia kupunguza gharama za ujenzi.wakati wa...
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
CloudsFM24 Nov
BIBI CHEKA ANATAFUTA LAKI MBILI ILI AWEZE KUVUNJA NYUMBA YA UDONGO NA KUJENGA YA MATOFALI
Msanii wa Hip Hop Bongo, mwenye umri mkubwa kuliko wote, Bibi Cheka, wiki iliyopita kupitia Clouds Fm alifunguka kuwa alikuwa anaumwa na ameanza kurudi kwenye hali yake baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita, Bibi Cheka pia akaonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo muda wowote ;label’ yake ya Mkubwa Na Wanae wataiachia.
Kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi Bibi Cheka pande za Bunju jijini Dar Es Salaam, kwenye kichumba cha udongo,...
11 years ago
Mwananchi04 May
DRC wahamasishwa kutumia ofisi za TPA Lubumbashi
5 years ago
Michuzi
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...
11 years ago
Michuzi
Wafanyabiashara DRC wahamasishwa kutumia ofisi mpya za TPA Lubumbashi

Serikali ya Tanzania imesema imedhamiria kuhakikisha wafanyabiashara toka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo wanaotumia bandari ya Dar es Salaam wanapata huduma nzuri kwa faida ya nchi zote mbili.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema wakati wa uzinduzi wa ofisi ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mjini Lubumbashi, DRC kuwa wizara yake na bandari ya Dar es Salaam watahakikisha kuwa huduma za bandari zinasogezwa karibu na...
11 years ago
Tanzania Daima07 Jan
Wananchi wahamasishwa na taarifa TMA
IMEELEZWA hamasa ya wananchi kupata taarifa ya hali ya hewa imeongezeka baada ya majanga yanayotokea baharini. Kaimu Mkuu wa Shughuli za Hali ya Hewa kituo cha Zanzibar, Hafidhi Bakari, alibainisha...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...
10 years ago
GPLNHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR
11 years ago
Tanzania Daima20 Aug
Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala
MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...
11 years ago
Michuzi.jpg)
WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...