Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wananchi wahamasishwa kutumia matofali yanayofungamana ya udongo saruji

IMG_5589

Afisa Habari toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na Nyumba Bora (NHBRA) Bw. Frimin Lyakurwa  akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) wakati wa Mkutano uliofanyika Katika Ukumbi wa Idara ya Habari (MAELEZO).

IMG_5554

Mhandisi wa Ujenzi toka Wakala wa Taifa wa Utafiti wa Vifaa vya Ujenzi na nyumba bora (NHBRA) Bw. John Twimanye akiwaeleza waandishi wa Habari (hawapo pichani) kuhusu matofali yanayofungamana, ya udongo saruji yanayosaidia kupunguza gharama za ujenzi.wakati wa...

Dewji Blog

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

CloudsFM

BIBI CHEKA ANATAFUTA LAKI MBILI ILI AWEZE KUVUNJA NYUMBA YA UDONGO NA KUJENGA YA MATOFALI

Msanii wa Hip Hop Bongo, mwenye umri mkubwa kuliko wote, Bibi Cheka, wiki iliyopita kupitia Clouds Fm alifunguka kuwa alikuwa anaumwa na ameanza kurudi kwenye hali yake baada ya kuanguka ghafla miezi mitatu iliyopita, Bibi Cheka pia akaonjesha ladha ya ngoma yake mpya ambayo muda wowote ;label’ yake ya Mkubwa Na Wanae wataiachia.

Kama unavyofahamu umaarufu zaidi unahitaji usalama zaidi, lakini mazingira anayoishi Bibi Cheka pande za Bunju jijini Dar Es Salaam, kwenye kichumba cha udongo,...

 

11 years ago

Mwananchi

DRC wahamasishwa kutumia ofisi za TPA Lubumbashi

Serikali imeeleza dhamira yake ya kuhakikisha wafanyabiashara wa Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo (DRC), wanaotumia Bandari ya Dar es Salaam wanapata huduma nzuri kwa faida ya nchi zote mbili.

 

5 years ago

Michuzi

COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu

Na COSTECH
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha  kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...

 

11 years ago

Michuzi

Wafanyabiashara DRC wahamasishwa kutumia ofisi mpya za TPA Lubumbashi

Na Mwandishi wetu, Lubumbashi
Serikali ya Tanzania imesema imedhamiria kuhakikisha wafanyabiashara toka Jamhuri ya Demokrasia ya Kongo wanaotumia bandari ya Dar es Salaam wanapata huduma nzuri kwa faida ya nchi zote mbili.
Waziri wa Uchukuzi, Dk. Harrison Mwakyembe amesema wakati wa uzinduzi wa ofisi ya mawasiliano ya Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) mjini Lubumbashi, DRC kuwa wizara yake na bandari ya Dar es Salaam watahakikisha kuwa huduma za bandari zinasogezwa karibu na...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi wahamasishwa na taarifa TMA

IMEELEZWA hamasa ya wananchi kupata taarifa ya hali ya hewa imeongezeka baada ya majanga yanayotokea baharini. Kaimu Mkuu wa Shughuli za Hali ya Hewa kituo cha Zanzibar, Hafidhi Bakari, alibainisha...

 

10 years ago

Dewji Blog

NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar

 Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana.  Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...

 

10 years ago

GPL

NHC YATOA MSAADA WA MASHINE ZA MATOFALI, SH. 500,000 KWA VIJANA WALIOACHA KUTUMIA DAWA ZA KULEVYA KIGOGO, DAR‏

 Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana.  Katikati mstari wa mbele ni...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wananchi watakiwa kutumia nishati mbadala

MTAFITI wa Taasisi ya Uchumi na Jamii (ESRF), Solomon Balegu ametaka Watanzania kutumia nishati mbadala ili kuepuka mabadiliko ya tabianchi. Akizungumza jana jijini Dar es Salaam, Balegu alisema kuwa ikiwa...

 

11 years ago

Michuzi

WANANCHI WAANZA KUTUMIA MV KIGAMBONI LEO

Hatimaye Serikali imetimiza ahadi yake mapema leo mara baada ya Kivuko cha Mv. Kigamboni kuanza rasmi safari zake za usafirishaji.
Kauli hiyo imetolewa leo jijini Dar es Salaam na Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi Mhandisi Mussa Iyombe wakati akizindua kivuko hicho ambacho kilikuwa kikikarabatiwa na Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) Kikosi cha Wanamaji.
Mhandisi Iyombe amesema Kivuko hicho ambacho kinategemewa na wananchi walio wengi waishio Kigamboni na maeneo jirani kimeanza kutoa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani