COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu
![](https://1.bp.blogspot.com/-4NL_dcSzy8Q/XsKXmz2ViBI/AAAAAAALqsE/UPF4jhrn1VUamllTCq79shY-JdnJTtGxgCLcBGAsYHQ/s72-c/3.1.jpg)
Na COSTECH
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s72-c/4.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu
![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s640/4.1.jpg)
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine inayoweza kupima magonjwa ya moyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mKp8B6IcMis/Xr062PEo2oI/AAAAAAALqM0/nF_Y_dejE4Ao0BjTtWq9UTF6CnKTfPnBgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Na COSTECHTAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa kila mwaka wastani wa watu milioni 58 hupoteza maisha duniani kote. Vifo vya watu milioni 41 sawa na asilimia 71 ya vifo vyote kwa mwaka husababishwa na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo, kisukari, figo na shinikizo la damu.
Magonjwa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2Bb.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme wa sumaku
![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s640/1%2Bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pYzEjtG3sgU/XsUTpv9bo0I/AAAAAAALq7w/pplHvwdHgokUYjRDkf5hbMEhRQ_MG8hoACLcBGAsYHQ/s640/3%2Bb.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) yamwezesha Mbunifu mwenye umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme...
10 years ago
Dewji Blog22 Oct
Chuo Kikuu Ardhi kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na taka ngumu
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Ardhi Prof. Idrissa Mshoro akiwaeleza waandishi wa habari (Hawapo pichani) kuhusu mpango wa chuo hicho wa kuendelea na jitihada za kutatua tatizo la udhibiti wa maji taka na tanga ngumu ikiwemo ujengaji wa miundombinu ya majaribio ya teknolojia za kibiolojia zinazobadili tanga ngumu au maji taka ambayo huzalishwa majumbani kuwa mboji na gesi asili ya kupikia, wakati wa mkutano na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam. Kulia ni Naibu Makamu Mkuu wa Chuo...
10 years ago
Dewji Blog28 May
Halmashauri ya Manispaa Singida yapewa msaada wa zaidi ya Mil 250 kwa ajili ya malori ya taka ngumu
Kijiko mali ya manispaa ya Singida kilichonunuliwa kwa shilingi 110 milioni,kikipakia taka ngumu kutoka kwenye dampo la soko la vitunguu mjini hapa jana.Picha na Nathaniel Limu
Na Nathaniel Limu
Serikali kuu imeipatia msaada halmashauri ya manispaa ya Singida, kijiko na malori mawili makubwa vyote vikiwa na thamani ya zaidi ya shilingi 250 milioni,kwa ajili ya uzoaji wa taka ngumu.
Hayo yamesemwa juzi na mkurugenzi wa manispaa ya Singida, Joseph Mchina, wakati akizingumza na waandishi wa...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH,TALIRI KUZALISHA NG'OMBE KWA KUTUMIA TEKNOLOJIA
![](https://1.bp.blogspot.com/-ga9ftz9iuSE/Xru1fTRrV6I/AAAAAAALqAs/RRIlPEEHk2Q_4oDV33qaOjyza5oLr2R5ACLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-uqAZTmpUQok/Xru1fde2LVI/AAAAAAALqAo/KpExfmeBJx8VU2xBjdWDBLEfxeJ01zPrQCLcBGAsYHQ/s640/2%2B%25281%2529.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-Vf2EITWjFVI/Xru1glJtYUI/AAAAAAALqAw/5JDlWQcU11gvMWeb9NT19zrRnd2aQi3YACLcBGAsYHQ/s640/3.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-zYqJ8VaZ7oc/Xru11rJEFsI/AAAAAAALqA8/iFgkfmA59nEVpMarUuPsadOWy9IH330dQCLcBGAsYHQ/s640/4.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-F4bui1LZsTU/Xru16pjwZPI/AAAAAAALqBA/3rBpTxoHL_gpZYdx0WyqXyNfilgm-yU5QCLcBGAsYHQ/s640/5.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH)...
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Sumbawanga yaelemewa na taka ngumu
HALMASHAURI ya Manispaa ya Sumbawanga imezidiwa na mzigo wa uzoaji wa taka ngumu kutoka eneo lililotengwa kwa ajili ya kukusanyia kutokana na uzalishaji wake kuwa mkubwa kuliko ilivyotarajiwa. Hali hiyo...
11 years ago
Tanzania Daima11 May
‘Tanzania haina dampo la taka ngumu’
TANZANIA haina dampo la kutekeleza taka ngumu zenye sumu, bunge lilielezwa jana. Kauli hiyo ilitolewa bungeni jana na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Mazingira) Ummi Mwalimu, alipokuwa akijibu...
10 years ago
Dewji Blog21 Jul
NHC yatoa msaada wa mashine za matofali, Sh. 500,000 kwa vijana walioacha kutumia dawa za kulevya Kigogo, Dar
Vijana waliopata ushauri nasaha wa kuacha kutumia dawa za kulevya, wakishangilia baada ya Meneja wa Huduma kwa Jamii wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Muungano Saguye (aliyevaa koti) kuwakabidhi msaada wa mashine tatu za kufyatulia matofali pamoja na mtaji wa sh. 500,000 katika hafla iliyofanyika kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Kigogo, Dar es Salaam jana. Katikati mstari wa mbele ni Mchungaji wa kanisa hilo, Jackson Haranja ambaye pia ni mlezi wa...