Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine inayoweza kupima magonjwa ya moyo

 Mbunifu wa mashine ya kupima magonjwa ya Moyo, Janeth Henry Tilya. Mbunifu Janeth Henry Tilya akionesha waandishi wa habari (hawako pichani)namna  mashine inavyofanya kazi.

Na COSTECHTAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa kila mwaka wastani wa watu milioni 58 hupoteza maisha duniani kote. Vifo vya watu milioni 41 sawa na asilimia 71 ya vifo vyote kwa mwaka husababishwa na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo, kisukari, figo na shinikizo la damu.
Magonjwa ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu

 Mbunifu George Mkama  akiwaonesha mashine ambayo ameibuni kwaajili ya kuchenjulia dhahabu.
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini  ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...

 

5 years ago

Michuzi

COSTECH yamwezesha Mbunifu wa umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme wa sumaku

  Mzee Salvatory Magayana akimuelekeza mjuukuu  wake (mwenyekofia) nanna ya kuunganisha mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za sumaku.Mwalimu wa Ufundi chuo cha Ufundi VETA Mwanza, Lawrence Mashindano (wa kwanza kushoto) akimwelekeza Mzee Salvatory Magayana namna yakutumia mashine za kisasa katika kuboresha mtambo wake wa kuzalisha umeme wa nguvu za sumaku.
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) yamwezesha Mbunifu mwenye umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme...

 

5 years ago

Michuzi

COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu

Na COSTECH
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha  kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...

 

10 years ago

Dewji Blog

Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania

Ahmedabad Apollo hospital

Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania  vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.

Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...

 

10 years ago

Michuzi

Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) wakianza matembezi ya hisani ya takribani Kilomita 10 jijini Dar es Salaam jana ikiwa ni moja ya matukio ya benki hiyo kudhimisha Siku ya Moyo Duniani ambapo kiasi cha pesa watakachochangisha kitapelekwa katika Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) kusaidia watoto na vijana wanaosumbuliwa na matatizo ya ugonjwa wa moyo. Siku ya Moyo Duniani huadhimishwa kimataifa Septemba 29 kila mwaka. Hapa baadhi ya wafanyakazi hao wakipita katika...

 

5 years ago

Bongo5

Jocktan Makeke: Mbunifu wa Tanzania anayetumia ngozi, mifupa, miti, makopo na vingine kutengeneza nguo

Kabla wakoloni hawajaja Afrika na kututawala, mababu zetu walikuwa wakiishi kwa kutegemea mazingira yanayowazunguka.

Mavazi waliyovaa, yalitokana na miti na vitu vingine vya asili. Baada ya mkoloni kuja na kudai kuleta ustaarabu Afrika, mengi yalibadilika. Tukipeleka mbele hadi mwaka 2017, asilimia zaidi ya 90 ya nguo ambazo Watanzania tunavaa, ni zile zilizotengenezwa nje na nyingi huja kama mitumba.

Mbunifu wa mavazi/Msanii wa mitindo, Jocktan Makeke ana jicho la tofauti katika namna...

 

11 years ago

Habarileo

KIDT wapokea mashine ya kutengeneza kuni

TAASISI ya Mfuko wa Maendeleo ya Viwanda Kilimanjaro (KIDT) ya mjini Moshi, imepokea msaada wa mashine ya kisasa ya kutengeneza kuni kwa kutumia pumba za mpunga na mbao yenye thamani ya Sh milioni 100 ikiwa ni msaada kutoka Serikali ya Japan.

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR YAPATA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMA JOTO

 Mfanyabiashara Said Nasser Nassor {Bopar} Kushotoakimkabidhi Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi Mashine za Kupimia Joto kukamilisha ahadi aliyotoa Wiki iliyopita ya mchango wake wa kusaidia Vifaa kwenye mapambano dhidi ya Virusi vya Corona. Balozi Seif akiangalia moja ya Mashine hiyo ya kupimia Jotola mwili inayosaidia kutoa viashiria vya kutambua matatizo ya maradhi kwenye Mwili wa Mwanaadamu.Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddiakitoa shukrani mara...

 

11 years ago

Mwananchi

Uhusiano wa kukoroma na magonjwa ya moyo

>Si jambo geni kusikia mtu wako wa karibu au mwenza wako anapokuwa amelala kuwa na kawaida akikoroma au kuwa na mikwamo mikwamo ya milio isiyo ya kawaida akiwa katika usingizi mzito.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani