COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine inayoweza kupima magonjwa ya moyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
Mbunifu wa mashine ya kupima magonjwa ya Moyo, Janeth Henry Tilya.
Mbunifu Janeth Henry Tilya akionesha waandishi wa habari (hawako pichani)namna mashine inavyofanya kazi.
Na COSTECHTAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa kila mwaka wastani wa watu milioni 58 hupoteza maisha duniani kote. Vifo vya watu milioni 41 sawa na asilimia 71 ya vifo vyote kwa mwaka husababishwa na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo, kisukari, figo na shinikizo la damu.
Magonjwa ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s72-c/4.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu
![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s640/4.1.jpg)
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2Bb.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme wa sumaku
![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s640/1%2Bb.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-pYzEjtG3sgU/XsUTpv9bo0I/AAAAAAALq7w/pplHvwdHgokUYjRDkf5hbMEhRQ_MG8hoACLcBGAsYHQ/s640/3%2Bb.jpg)
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) yamwezesha Mbunifu mwenye umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4NL_dcSzy8Q/XsKXmz2ViBI/AAAAAAALqsE/UPF4jhrn1VUamllTCq79shY-JdnJTtGxgCLcBGAsYHQ/s72-c/3.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...
10 years ago
Dewji Blog15 Sep
Magonjwa ya moyo bado ni miongoni mwa magonjwa yanayochangia vifo vingi Tanzania
Kwa mujibu wa takwimu za Shirika la Afya Duniani, WHO zilizotolewa mwaka 2011, Vifo vilivyotokana na magojwa ya moyo nchini Tanzania vilifikia idadi ya watu 19,083, au asilimia 4.33% ya idadi ya vifo vyote. Na takwimu hizo zilionyesha idadi ya wanaofariki ni watu 117.64 kati ya watu 100,000, na takwimu hizi zikiiweka Tanzania katika nafasi ya 87 ulimwenguni.
Magonjwa haya ya moyo yanasababisha vifo vipatavyo idadi ya watu milioni 12 kwa mwaka duniani kote. Hata hivyo shirika la Afya...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s72-c/01.jpg)
Wafanyakazi wa NBC waadhimisha Siku ya Moyo Duniani kuchangisha fedha kusaidia vijana na watoto wanaosumbuliwa na magonjwa ya moyo
![](http://2.bp.blogspot.com/-X7cQznGSw5g/VCf4hk5hCNI/AAAAAAAGmSs/amiigVDI9jw/s1600/01.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-YBbLlBsHP5o/VCf4iEASEnI/AAAAAAAGmSw/a0Ay_I8KGPw/s1600/02..jpg)
5 years ago
Bongo514 Feb
Jocktan Makeke: Mbunifu wa Tanzania anayetumia ngozi, mifupa, miti, makopo na vingine kutengeneza nguo
Kabla wakoloni hawajaja Afrika na kututawala, mababu zetu walikuwa wakiishi kwa kutegemea mazingira yanayowazunguka.
Mavazi waliyovaa, yalitokana na miti na vitu vingine vya asili. Baada ya mkoloni kuja na kudai kuleta ustaarabu Afrika, mengi yalibadilika. Tukipeleka mbele hadi mwaka 2017, asilimia zaidi ya 90 ya nguo ambazo Watanzania tunavaa, ni zile zilizotengenezwa nje na nyingi huja kama mitumba.
Mbunifu wa mavazi/Msanii wa mitindo, Jocktan Makeke ana jicho la tofauti katika namna...
11 years ago
Habarileo15 Dec
KIDT wapokea mashine ya kutengeneza kuni
TAASISI ya Mfuko wa Maendeleo ya Viwanda Kilimanjaro (KIDT) ya mjini Moshi, imepokea msaada wa mashine ya kisasa ya kutengeneza kuni kwa kutumia pumba za mpunga na mbao yenye thamani ya Sh milioni 100 ikiwa ni msaada kutoka Serikali ya Japan.
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-tppzvf3AOlU/XqaweqGE0mI/AAAAAAALoUE/APkPn6I-BGANWaKs1iiV7t_NAehaMypxACLcBGAsYHQ/s72-c/221.jpg)
ZANZIBAR YAPATA MSAADA WA MASHINE ZA KUPIMA JOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-tppzvf3AOlU/XqaweqGE0mI/AAAAAAALoUE/APkPn6I-BGANWaKs1iiV7t_NAehaMypxACLcBGAsYHQ/s640/221.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-_EZzIwrexNQ/XqawaqRd_uI/AAAAAAALoUA/D8806r4mMGAQcDTy_COdWHwxOA-GN3JbACLcBGAsYHQ/s640/247.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/--i2jCr_Avn0/Xqawaql8e_I/AAAAAAALoT8/utde-3hwXAQuILVchMj1G3AGYBfu-8a8QCLcBGAsYHQ/s640/270.jpg)
11 years ago
Mwananchi07 Feb
Uhusiano wa kukoroma na magonjwa ya moyo