COSTECH yamwezesha Mbunifu wa umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme wa sumaku
![](https://1.bp.blogspot.com/-oZl3CBaGzKw/XsUTphtOcQI/AAAAAAALq7s/Os5icxy3NhksrjdGrItW0zZLm28RB3nlwCLcBGAsYHQ/s72-c/1%2Bb.jpg)
Mzee Salvatory Magayana akimuelekeza mjuukuu wake (mwenyekofia) nanna ya kuunganisha mtambo wa kuzalisha umeme kwa kutumia nguvu za sumaku.
Mwalimu wa Ufundi chuo cha Ufundi VETA Mwanza, Lawrence Mashindano (wa kwanza kushoto) akimwelekeza Mzee Salvatory Magayana namna yakutumia mashine za kisasa katika kuboresha mtambo wake wa kuzalisha umeme wa nguvu za sumaku.
TUME ya Taifa ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) yamwezesha Mbunifu mwenye umri wa miaka 80 katika kutengeneza nishati ya umeme...
Michuzi
Habari Zinazoendana
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s72-c/4.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine ya kuchenjua dhahabu
![](https://1.bp.blogspot.com/-axyXHrus7cs/XsJIAseKQuI/AAAAAAALqno/fIfodW0efW4V1Zz0s2YB3pN0XR1TMjWVgCLcBGAsYHQ/s640/4.1.jpg)
TANZANIA ni nchi ya nne kwa uchimbaji wa dhahabu Afrika huku ikitajwa kuwa na hazina kubwa ya madini mengine kama vile Almasi na Tanzanite.
Kwa miaka mingi, kabla sheria ya madini haijafanyiwa marekebisho bado, kwa mwaka 2017, Sekta hiyo ilikuwa inachangia chini ya asilimia tano kwenye pato la Taifa.
Kwa sasa mipango ya serikali ni kuifanya sekta ya madini ichangie kwenye pato la Taifa kwa asilimia 10...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s72-c/1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu kutengeneza mashine inayoweza kupima magonjwa ya moyo
![](https://1.bp.blogspot.com/-AprmhSM1Xo0/Xr061SfzDvI/AAAAAAALqMw/PakIfwV4YkUDYlPuXbVDIJ3RFbQnMKcggCLcBGAsYHQ/s640/1.jpg)
![](https://1.bp.blogspot.com/-mKp8B6IcMis/Xr062PEo2oI/AAAAAAALqM0/nF_Y_dejE4Ao0BjTtWq9UTF6CnKTfPnBgCLcBGAsYHQ/s640/2.jpg)
Na COSTECHTAKWIMU za Shirika la Afya Duniani (WHO) zinaonesha kuwa kila mwaka wastani wa watu milioni 58 hupoteza maisha duniani kote. Vifo vya watu milioni 41 sawa na asilimia 71 ya vifo vyote kwa mwaka husababishwa na magonjwa yasiyoambukiza yakiwemo magonjwa ya moyo, kisukari, figo na shinikizo la damu.
Magonjwa ya...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-4NL_dcSzy8Q/XsKXmz2ViBI/AAAAAAALqsE/UPF4jhrn1VUamllTCq79shY-JdnJTtGxgCLcBGAsYHQ/s72-c/3.1.jpg)
COSTECH yamwezesha Mbunifu wa matofali yanayotengenezwa kwa kutumia taka ngumu
Takwimu kutoka kampuni in inayojihusisha na mikopo ya Nyumba Tanzania (TMRC) zinaonyesha kuwa Tanzania ina upungufu wa nyumba milioni tatu. Takwimu hizo pia zinaonyesha kuwa nchini Tanzania kila mwaka kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba 200,000. Sababukubwa za ongezeko la mahitaji ya nyumba nchini ni pamoja na gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi.Gharama kubwa ya vifaa vya ujenzi inasababisha wananchi wengi kuishi kwenye nyumba zisizo bora kwani hujenga nyumba zao kwa kutumia vifaa...
10 years ago
MichuziKAMATI YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA ZIARA KATIKA MITAMBO YA KUFUA UMEME YA KINYEREZI 1
5 years ago
Bongo514 Feb
Jocktan Makeke: Mbunifu wa Tanzania anayetumia ngozi, mifupa, miti, makopo na vingine kutengeneza nguo
Kabla wakoloni hawajaja Afrika na kututawala, mababu zetu walikuwa wakiishi kwa kutegemea mazingira yanayowazunguka.
Mavazi waliyovaa, yalitokana na miti na vitu vingine vya asili. Baada ya mkoloni kuja na kudai kuleta ustaarabu Afrika, mengi yalibadilika. Tukipeleka mbele hadi mwaka 2017, asilimia zaidi ya 90 ya nguo ambazo Watanzania tunavaa, ni zile zilizotengenezwa nje na nyingi huja kama mitumba.
Mbunifu wa mavazi/Msanii wa mitindo, Jocktan Makeke ana jicho la tofauti katika namna...
10 years ago
MichuziWAZIRI WA NISHATI NA MADINI AFANYA ZIARA KATIKA MKOA WA SIMIYU KUKAGUA MIRADI YA UMEME NA KUZUNGUMZA NA WANANCHI
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s640/_MG_1131.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-GPMVNxH70Vc/VbiRMMNFGLI/AAAAAAAHsb4/0leXLRBS5cE/s1600/_MG_1137.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
9 years ago
BBCSwahili14 Aug
Umri ni miaka 26 lakini umbile ni miaka 10
5 years ago
BBCSwahili26 Feb
Israel Habimana: Raia wa Rwanda aliyeuza mali yake kutengeneza bwawa la umeme kwa wanakijiji