TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA
![](http://4.bp.blogspot.com/-TYI_-2I1G1U/VbiQ8ALedMI/AAAAAAAHsbw/PkCvCvxtROc/s72-c/_MG_1131.jpg)
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme (Tanesco),Mhandisi Felchesmi Mramba akizungumza na waandishi wa habari juu ya mafanikio ya miaka 10 ya shirika hilo katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.
Sehemu ya waandishi wa habari wakifatilia taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco,hayupo pichani katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2cgQuBR1CogMefJI*S0GG3QoEtPQB3XA64YQvjOsMw4PTEUbnXeyQllRlpERSHCdICWrqJv2dbqqq5yse*x1M9jijoWlKAu8/001.NACTE.jpg)
NACTE YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
9 years ago
StarTV18 Dec
Muhongo awataka wakurugenzi TANESCO kusimamia Utoaji Huduma Ya Umeme
Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo amewataka wakurugenzi wa Shirika la Umeme nchini TANESCO wa Kanda, Mikoa na Wilaya kuhakikisha wanasimamia na kutoa huduma bora za umeme ili kukomesha mgao wa Umeme unaoendelea kwenye baadhi ya maeneo nchini.
Waziri Muhongo amesema changamoto kubwa iliyopo katika shughuli nzima ya utoaji huduma za umeme ni pamoja na kuwepo kwa uhaba wa maji unaosababishwa na shughuli za kibinaadamu kwenye vyanzo vya maji.
Amewataka maafisa hao kutoa elimu...
10 years ago
Habarileo23 Jan
‘BRN imepata mafanikio makubwa’
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imepata mafanikio makubwa kufuatia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambapo ufaulu umeongezeka kufikia asilimia 57 mwaka jana ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 50.61.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s72-c/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE
![](http://4.bp.blogspot.com/-3NfxeLWjbqk/VZqN74ijf3I/AAAAAAAHnT0/VSNoRHThsQg/s640/unnamed%2B%252850%2529.jpg)
9 years ago
VijimamboWIZARA YA UJENZI YAELEZEA MAFANIKIO YAKE KWA KIPINDI CHA MIAKA 10
9 years ago
Dewji Blog07 Oct
Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka 10
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-M_wiAwPWZb8/VG28V3LPGeI/AAAAAAADNxY/TWG26e_N0DM/s72-c/image.jpeg)
UZALISHAJI WA MIFUGO KATIKA MASHAMBA YA JESHI LA MAGEREZA WAONGEZEKA KWA MAFANIKIO MAKUBWA NCHINI
![](http://1.bp.blogspot.com/-M_wiAwPWZb8/VG28V3LPGeI/AAAAAAADNxY/TWG26e_N0DM/s1600/image.jpeg)
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.