Wizara ya Ujenzi yaeleza mafanikio yake kwa kipindi cha miaka 10
Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Ujenzi, Segolena Francis (kulia), akizungumza na wanahabari Dar es Salaam leo asubuhi wakati akimkaribisha Mkurugenzi wa Barabara wa Wizara ya Ujenzi, Mhandisi Ven Ndyamkama (kushoto), kuzungumza na waandishi wa habari kuhusu mafanikio ya serikali katika sekta ya ujenzi kwa kipindi cha miaka 10 kuanzia mwaka 2005 hadi 2015.
Dewji Blog
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboWIZARA YA UJENZI YAELEZEA MAFANIKIO YAKE KWA KIPINDI CHA MIAKA 10
10 years ago
Michuzi
WAZIRI CHIKAWE ATANGAZA MAFANIKIO YA WIZARA YAKE KATIKA KIPINDI CHA MIAKA KUMI YA SERIKALI YA AWAMU YA NNE

5 years ago
Michuzi
KAMATI YA BAJETI YAELEZA ILIVYOKUWA IKIWASILISHA MAOMBI KWA SERIKALI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA MITANO KUOMBA KUONDOLEWA USHURU KWENYE CHUPA ZA MVINYO

KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Bajeti kupitia kwa Mwenyekiti wa kamati hiyo Mashimba Ndaki amesema kwa miaka mitano sasa kamati hiyo imekuwa ikiwasilisha maombi serikalini ya kuondoa ushuru wa bidhaa kwa chupa zinazotumika kwa ajili ya kufungashia mvinyo unazalishwa nchini.
Akizungumza leo Juni 15,2020 Bungeni Mjini Dodoma Ndaki amesema kwa sasa chupa zinazoingizwa nchini zinatozwa ushuru wa bidhaa kwa asilimia 25, pamoja na tozo nyingine za serikali na hivyo...
11 years ago
MichuziMAFANIKIO NA CHANGAMOTO ZA CUF KIPINDI CHA MIAKA MITANO VIWE VITENDEA KAZI KWA UONGOZI MPYA
Katibu Mkuu wa CUF Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwasilisha taarifa ya chama hicho kwa kipindi cha miaka mitano iliyopita kwenye mkutano mkuu wa chama hicho unaofanyika Ubungo Plaza Dar es Salaam.
10 years ago
VijimamboBODI YA USAJILI WA WAHANDISI (ERB) YAELEZEA MAFANIKIO YAKE NA SERIKALI YA AWAMU YA NNE KWA KIPINDI CHA MWAKA 2005-2015
10 years ago
GPL
NACTE YAPATA MAFANIKIO MAKUBWA KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
Mkurugenzi wa Idara ya Ushauri na malezi wa vyuo(NACTE).Dkt. Adolf Rutayuga (katikati) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na mafanikio ya usajili wa taasisi na vyuo vya elimu na mafunzo ya ufundi yaliyopatikana katika kipindi cha serikali ya awamu ya Nne ambapo umeongezeka kutoka 168 mwaka 2005 hadi 528 mwaka 2015 huku 206 vikiwa ni vya Serikali na 322 si vya Serikali.Wanaoshuhudia kushoto ni Mkurugenzi wa...
10 years ago
Michuzi
TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA


Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...
10 years ago
MichuziBARAZA LA TAIFA LA UJENZI LATATUA ZAIDI YA MIGOGORO KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
06-May-2025 in Tanzania