Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘BRN imepata mafanikio makubwa’

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imepata mafanikio makubwa kufuatia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambapo ufaulu umeongezeka kufikia asilimia 57 mwaka jana ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 50.61.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

TANESCO IMEPATA MAFANIKIO MAKUBWA YA UTOAJI WA HUDUMA YA UMEME NCHINI KATIKA KIPINDI CHA MIAKA 10 -MHANDISI MRAMBA

Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Umeme (Tanesco),Mhandisi Felchesmi Mramba akizungumza na waandishi wa habari juu ya mafanikio ya miaka 10 ya shirika hilo katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.Sehemu ya waandishi wa habari wakifatilia taarifa ya Mkurugenzi Mkuu wa Tanesco,hayupo pichani katika Ukumbi wa Idara ya Habari Maelezo leo jijini Dar es Salaam.
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii
SHIRIKA la Umeme (Tanesco) limesema kuwa limepata mafanikio katika kipindi cha miaka...

 

10 years ago

Habarileo

JK aambiwa sekta binafsi imepata mafanikio

SEKTA binafsi hapa nchini inapata mafanikio makubwa kutokana na ushirikiano mzuri kutoka serikalini. Taarifa kutoka Ikulu jana ilisema Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), Mizinga Melu alisema hayo wakati akizungumza na Rais Jakaya Kikwete jana jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

‘BRN yaonyesha mafanikio’

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), umeonyesha mafanikio makubwa licha ya baadhi ya watu kuutilia shaka uanzishwaji wake.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yajigamba mafanikio ya BRN

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amesema Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), umepata mafanikio makubwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu ulipoanza kutekelezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Fedha yajivunia mafanikio BRN

MATOKEO Makubwa Sasa (BRN) ni mfumo unaotumiwa na serikali katika kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa baadhi ya majukumu yake yenye lengo la kupata matokeo chanya kwa muda mfupi. Mfumo huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja

Mwezi Juni mwaka 2013, Rais Jakaya Kikwete alimteua Omari Issa kuwa mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

11 years ago

Michuzi

WIZARA YA FEDHA YAWEKA WAZI JINSI ITAKAVYOTEKELEZA MATOKEO MAKUBWA SASA 'BRN'

Msemaji Mkuu wa Wizara ya Fedha, Ingiahedi Mduma, akizungumza wakati wa Semina maalum kwa 'Mablogger', iliyofanyika katika Hoteli ya Kilimanjaro Park, Misugusugu Kibaha, hivi karibuni. Semina hiyo imeandaliwa na Wizara ya Fedha kwa lengo la utaratibu wa kutimiza utekelezaji wa Matokeo Makubwa Sasa (Big Results Now). ************************************************* Na Sufianimafoto Reporter wizara ya fedha imeeleza wazi kuhusu mipango yake ya kutekeleza matokeo makubwa sasa(BRN) ikiwa ni...

 

10 years ago

GPL

JK AKUTANA NA WAJUMBE WA JOPO LA KUTATHMINI PROGRAMU YA TEKELEZA KWA MATOKEO MAKUBWA SASA (BRN)

Rais Dkt. Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na wajumbe wa Jopo la Kutathmini Programu  ya Tekeleza kwa Matokeo Makubwa Sasa (BRN Independent Review Panel) linaloongozwa na Rais Mstaafu wa Botswana Mheshimiwa Dkt. Festus Mogae ( aliyekaa wa kwanza kulia kwa Rais Kikwete) huko Ikulu tarehe 16.01.2015. Rais Dkt. Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo maalum ya Vision 2025 Big… ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani