Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘BRN yaonyesha mafanikio’

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema utekelezaji wa Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), umeonyesha mafanikio makubwa licha ya baadhi ya watu kuutilia shaka uanzishwaji wake.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Tathmini ya Programu ya IFAD nchini Tanzania yaonyesha mafanikio makubwa

Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Bw. Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.

Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga kuonyesha mafanikio ya programu ya IFAD nchini Tanzania, warsha...

 

10 years ago

GPL

TATHMINI YA PROGRAMU YA IFAD NCHINI TANZANIA YAONYESHA MAFANIKIO MAKUBWA‏

Mkurugenzi wa IFAD, Ofisi huru ya Tathmini, Mr Oscar Garcia akitoa ripoti ya tathmini ya programu ya IFAD nchini Tanzania jinsi ilivyoweza kuonyesha mafanikio makubwa wakati wa warsha ya siku moja iliyofanyika Januari 29, 2014 jijini Dar katika Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa wa Mwl Nyerere.

Waziri wa Kilim, Chakula na Ushirika Tanzania Bara, Mh Steven Wassira akisoma hotuba fupi wakati wa warsha ya siku moja iliyolenga...

 

10 years ago

Habarileo

‘BRN imepata mafanikio makubwa’

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi imesema imepata mafanikio makubwa kufuatia mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN) ambapo ufaulu umeongezeka kufikia asilimia 57 mwaka jana ikilinganishwa na mwaka juzi ambapo ufaulu ulikuwa asilimia 50.61.

 

11 years ago

Mwananchi

Serikali yajigamba mafanikio ya BRN

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira amesema Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN), umepata mafanikio makubwa ikiwa ni mwaka mmoja tangu ulipoanza kutekelezwa.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wizara ya Fedha yajivunia mafanikio BRN

MATOKEO Makubwa Sasa (BRN) ni mfumo unaotumiwa na serikali katika kusimamia na kufuatilia utekelezaji wa baadhi ya majukumu yake yenye lengo la kupata matokeo chanya kwa muda mfupi. Mfumo huo...

 

11 years ago

Mwananchi

Mafanikio ya BRN katika kipindi cha mwaka mmoja

Mwezi Juni mwaka 2013, Rais Jakaya Kikwete alimteua Omari Issa kuwa mtendaji mkuu wa Ofisi ya Rais-Usimamizi wa Utekelezaji wa Miradi (PDB), inayoratibu Mpango wa Matokeo Makubwa Sasa (BRN).

 

9 years ago

Mwananchi

MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

 

11 years ago

Mwananchi

Ikulu yaonyesha hati ya Muungano

Dar es Salaam. Baada ya mvutano wa muda mrefu bungeni kuhusu ilipo Hati ya Muungano, Ikulu jana iliamua kuitoa hadharani huku ikisisitiza kuwa, “ni halisi na haikuchakachuliwa.”

 

11 years ago

GPL

Yanga yaonyesha jeuri ya fedha

Kikosi cha Yanga. Na Khadija Mngwai
UONGOZI wa Klabu ya Yanga umeonyesha jeuri ya fedha kwa wachezaji wake kufuatia kuwaahidi donge nono kila mechi kati ya walizobakiza ili kuhakikisha wanatwaa ubingwa wa Ligi Kuu Bara. Kabla ya mechi za jana Jumapili, Yanga ilikuwa katika nafasi ya pili kwenye msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 46, nyuma ya Azam iliyokuwa na pointi 50. Kikizungumza na Championi Jumatatu, chanzo cha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani