Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 1

Kwa muda mrefu nimezungumzia juu ya namna ya kupata mafanikio. Nilianza kwa kueleza namna mtu anavyoweza kutumia muda vizuri ili kupata mafanikio. Hapa nikasisitiza juu ya kuwa mshindi au bingwa wa kutumia muda na siyo kusema; ‘muda si rafiki.’

 

10 years ago

Mwananchi

Mbinu sahihi za kufanya biashara kwa mafanikio

Tumekuwa tukisoma na hata kusikia mazungumzo ya kawaida na kwenye vyombo vya habari juu ya ndoto za wajasiriamali. Baadhi yao wamekuwa wakisema wanataka kuwa kama mfanyabiashara fulani maarufu kutokana na biashara wanazozifanya.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujiweka mazingira bora ya mafanikio kimaisha (1)

Tunapozungumzia mafanikio binafsi, tunalenga kwa upana maisha ya mwanadamu. Unaposema mafanikio, wengi wanaelekeza mawazo yao kwenye kuwa na fedha, nyumba, magari na utajiri.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujiwekea mazingira bora ya mafanikio kimaisha (3)

Baada ya kujua namna ya kuishi na kuongozwa na malengo, leo tunajifunza juu ya faida ya kuweka malengo na hata namna ya kutumia muda wako kikamilifu.

 

10 years ago

GPL

RAHA YA MAFANIKIO YAKO USAIDIE NA WENGINE WAFANIKIWE!

Mpenzi msomaji wangu, unapojaaliwa kuwa na mafanikio jambo la kwanza unatakiwa kumshukuru sana Mungu pamoja na wale ambao kwa namna moja ama nyingine wamekufanya ufike hapo ulipo.Huwezi kufanikiwa kwa ujanja wako, mafanikio yako yote nyuma yake kuna mkono wa Mungu. Yeye ndiye anayeweza kuziona jitihada ulizonazo na akaona akutimizie ndoto zako. Ukiacha yeye, wapo watu mmojammoja au kwa vikundi na taasisi ambao wamechangia wewe...

 

11 years ago

GPL

UKICHEPUKA MARA MOJA, INAWEZA KUYAGHARIMU MAISHA YAKO YOTE KUREJESHA UPENDO WAKE KWAKO BILA MAFANIKIO...

Tukiendelea na mada yetu kutoka pale tulipoishia wiki iliyopita, suala la kuchepuka ni la kupiga vita. Anayekuja kwako na vishawishi vya hapa na pale ndiye adui yako pale mambo yanapogeuka. Ukichepuka utamuumiza sana mwenzio, kisha nawe utaumia. Hii ni kwa sababu mateso ya mwenzi wako hayawezi kukupa ahueni. Kwa walio kwenye mapenzi ya dhati ni kwamba mwenzi wako anapoteseka, na wewe pia unakuwa kwenye mateso makali. Maana...

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi mbinu za kusafirisha ‘unga’ zinavyofichuliwa

>Wakati vyombo vya usalama duniani vikitumia kila njia kuhakikisha kuwa biashara ya dawa za kulevya inakomeshwa, wasafirishaji nao wamekuwa wakibuni mbinu mpya kila siku.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mafanikio na changamoto za HESLB

KATIKA kuhakikisha wanafunzi wa elimu ya juu wanapata unafuu katika kugharimia masomo yao, serikali ilianzisha mpango maalumu wa kuwakopesha fedha watakazorejesha baada ya kuhitimu na kupata ajira. Mikopo hiyo kwa...

 

11 years ago

Habarileo

Mafanikio ya Mapinduzi Zanzibar

MAPINDUZI ya Zanzibar jana yalitimiza miaka 50, huku Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, akielezea mafanikio ya kupigiwa mfano, yaliyotokana na uongozi wa kizalendo katika muda huo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani