Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 1

Kwa muda mrefu nimezungumzia juu ya namna ya kupata mafanikio. Nilianza kwa kueleza namna mtu anavyoweza kutumia muda vizuri ili kupata mafanikio. Hapa nikasisitiza juu ya kuwa mshindi au bingwa wa kutumia muda na siyo kusema; ‘muda si rafiki.’

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

MBINU ZA MAFANIKIO : Jinsi ya kutawala mafanikio yako - 2

Katika mada hii ya namna ya kudumisha mafanikio yako, wiki iliyopita nilielezea juu ya dondoo za jinsi ya kutawala biashara yako ili isitetereke na kurudi nyuma.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujiwekea mazingira bora ya mafanikio kimaisha (3)

Baada ya kujua namna ya kuishi na kuongozwa na malengo, leo tunajifunza juu ya faida ya kuweka malengo na hata namna ya kutumia muda wako kikamilifu.

 

10 years ago

Mwananchi

Jinsi ya kujiweka mazingira bora ya mafanikio kimaisha (1)

Tunapozungumzia mafanikio binafsi, tunalenga kwa upana maisha ya mwanadamu. Unaposema mafanikio, wengi wanaelekeza mawazo yao kwenye kuwa na fedha, nyumba, magari na utajiri.

 

10 years ago

GPL

RAHA YA MAFANIKIO YAKO USAIDIE NA WENGINE WAFANIKIWE!

Mpenzi msomaji wangu, unapojaaliwa kuwa na mafanikio jambo la kwanza unatakiwa kumshukuru sana Mungu pamoja na wale ambao kwa namna moja ama nyingine wamekufanya ufike hapo ulipo.Huwezi kufanikiwa kwa ujanja wako, mafanikio yako yote nyuma yake kuna mkono wa Mungu. Yeye ndiye anayeweza kuziona jitihada ulizonazo na akaona akutimizie ndoto zako. Ukiacha yeye, wapo watu mmojammoja au kwa vikundi na taasisi ambao wamechangia wewe...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza Speed kwenye simu yako

Moja kati ya matatizo ya smartphones nyingi ni kuwa speed au kasi yake huwa ndogo sana. Hii hutokea mara nyingi kama umefungua applications/programs nyingi kwa mara moja. Je unawezaje kujikwamua na hali hii?

20150918_143620

Kuna njia mbali mbali ambazo unaweza kutumia kuondokana na tatizo la simu kufanya kazi polepole. Njia kubwa na ya uhakika ni KUNUNUA SIMU YENYE UWEZO MKUBWA.

Kununua simu yenye uwezo wa kufungua application nyingi kwa wakati mmoja bila kusumbua ndio dawa sahihi ya kuondoka na tatizo...

 

10 years ago

Dewji Blog

Jinsi ya kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android

Kama ni mtumiaji wa simu za Android (kama mimi) lazima umekwisha kutana na jambo hili. Mara kwa mara simu yako itakupa ujumbe kuwa imejaa. Kinachosababsha simu yako kujaa mapema si simu bali ni program (applications) unazopakua na kutumia pia maudhui kama vile picha, muziki na video.

Je unawezje kuongeza nafasi kwenye simu yako ya Android? Tutatumia mfano wa Huawei Y360. Sababu ya kutumia aina hii ya simu kama mfano ni kwa vile inaaminika na kupendwa na watu wengi, japo ni simu mpya hapa...

 

10 years ago

Mwananchi

SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako

Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara” ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.

 

11 years ago

Mwananchi

Je,unajua jinsi ya kuyafanya maisha yako yawe na shangwe ?

Siku hizi katika kila mji ninakokwenda, nastaajabu kuona nguzo za mabomba zinazochomoza kwenye mapaa ya nyumba na juu yake kumetundikwa vitu vya maumbo mbalimbali. 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani