SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako
Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara†ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?
Kama ungeulizwa ni vitu gani vinakukwaza katika maisha, nina hakika ungeorodhesha vitu vingi kama vile kukosa nyumba, kukosa gari, kukosa kazi ya mshahara mzuri, kukosa ushirikiano na watu wanaokuzunguka na vikwazo vingine kadha wa kadha.
9 years ago
Mwananchi06 Sep
SAIKOLOJIA : Je, una malengo katika maisha?
Je, leo unapofikiria maisha yako yaliyopita, unafurahi na kuridhika kuwa uliyaendesha vizuri au hauridhiki? Watu wengi husikitika hadi wakasema kama wengebahatika kupata nafasi kurudia maisha, wasingeishi kama walivyo sasa.
11 years ago
Mwananchi27 Jul
Je,unajua jinsi ya kuyafanya maisha yako yawe na shangwe ?
Siku hizi katika kila mji ninakokwenda, nastaajabu kuona nguzo za mabomba zinazochomoza kwenye mapaa ya nyumba na juu yake kumetundikwa vitu vya maumbo mbalimbali.Â
9 years ago
Mwananchi04 Oct
SAIKOLOJIA : maamuzi na vitendo vyao vinaweza kukufanyia maajabu katika maisha
Je, kadri unavyokumbuka kuna jambo lolote ambalo uliamini ukilitenda lingeweza kukuletea maendeleo makubwa katika maisha yako, lakini hukulitenda na hujalitenda hadi leo? Kama wewe hujawahi kukabiliwa na tatizo kama hili, basi wewe ni mtu mwenye bahati katika maisha.
10 years ago
Mwananchi26 Oct
unaweza kukabiliana na fadhaa katika maisha yako?
Je, unapofikwa na maafa huwa unafadhaika kiasi kikubwa hadi ukashindwa kujitambua? Kama jibu lako ni ndiyo je hali hiyo huathiri fikira zako hadi ukashindwa kujitambua?
9 years ago
Mwananchi27 Sep
SAIKOLOJIA : jinsi ya kutambua ujumbe sahihi
Ninaamini unafahamu nini inabidi kifanyike ili yapatikane mawasiliano ya kauli. Kuna vitendo viwili vya kuzungumza na kusikiliza, unaelewa fika kuwa ili mchakato wa kutuma ujumbe ukamilike unatakiwa kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
10 years ago
Mwananchi07 Jun
JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?
Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.
9 years ago
Mwananchi08 Nov
SAIKOLOJIA : Je unajua namna ya kutumia muda vizuri?
Zamani niliwahi kusoma kisa cha mfalme mmoja aliyeitwa Mautiktiki. Sikumbuki alikuwa wa taifa gani. Nadhani alikuwa Myunani wengine husema Mgiriki. Mfalme Mautikitiki alikuwa mtu aliyependa kufanya kazi mbalimbali za maendeleo ya watu wa miliki yake.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?
Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania