unaweza kukabiliana na fadhaa katika maisha yako?
Je, unapofikwa na maafa huwa unafadhaika kiasi kikubwa hadi ukashindwa kujitambua? Kama jibu lako ni ndiyo je hali hiyo huathiri fikira zako hadi ukashindwa kujitambua?
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi13 Apr
Unajua jinsi ya kukabiliana na vikwazo katika maisha yako?
Kama ungeulizwa ni vitu gani vinakukwaza katika maisha, nina hakika ungeorodhesha vitu vingi kama vile kukosa nyumba, kukosa gari, kukosa kazi ya mshahara mzuri, kukosa ushirikiano na watu wanaokuzunguka na vikwazo vingine kadha wa kadha.
11 years ago
Mwananchi05 Jan
Je, unaweza kuyakabili matatizo yasiathiri furaha yako na maisha yako?
Je, ukikutana na mtu njiani, akakuuliza kama una matatizo katika maisha yako, utamjibu vipi?
10 years ago
Mwananchi02 Aug
SAIKOLOJIA : Jinsi ya kutumia propaganda katika maisha yako
Mmoja wa wasomaji wangu aliyesoma makala yangu niliyoitoa Septemba 2014 niliyoiita “Propaganda za Wafanyabiashara†ameniomba nieleze zaidi kuhusu propaganda. Hususan, nieleze kama propaganda hutumika katika biashara tu au hata katika shughuli nyingine na kama propaganda ni kitu kizuri au kibaya.
10 years ago
Mwananchi07 Jun
JITAMBUE:Je unajua kuwa una haja ya kujifunza tabia mpya katika maisha yako?
Je unaweza kuandika orodha ya tabia zako zote? Kama unaweza kuziandika zitenge katika makundi mawili. Kundi moja liwe la zile ambazo zinakusaidia na zenye manufaa hata kwa watu wengine na kundi la pili ni zile ambazo hazina maana na hata zinawaudhi watu wengine. Kama utafanya zoezi hili kwa uaminifu huku ukiamini hakuna atakayeiona orodha yako kuna mambo mawili ambayo huenda ukafikiria kuyafanya.
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Unajua kuwa sanaa yako inajumuisha maisha yako binafsi?
“Watu waangalie nini nafanya, burudani gani ninawapa lakini maisha yangu hayawahusu.â€
5 years ago
BBCSwahili27 May
Virusi vya corona: Ni kwa namna gani unaweza kuvaa barakoa yako?
Taratibu za kufuata wakati wa kuvaa barakoa kujikinga na virusi vya corona
11 years ago
MichuziCULTURAL WARS SASA IMEKAMILIKA NA SASA UNAWEZA KUPATA COPY YAKO, PITIA HII TRAILER.
Ile filamu mliyokuwa mnaisubiri kwa hamu iitwayo “Cultural Wars” iliyoandikwa na kutengenezwa na Deogratius Mhella (Mtanzania anayeishi New York) akishirikiriana na Watanzania na Wamarekani waishio New York, New Jersey Boston na Connecticut sasa imetoka kwa mara ya kwanza na inapatikana kwenye DVD na unaweza kupata “electronic Copy” Filamu hii inazungumzia baadhi ya changamoto za kimapenzi wazipatazo vijana wa Kitanzania hapa...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/3BUwwLuJMnSWfNucCoHksNwLQ9g4DyZ5-X3VF1CfsxEipySJAP8pbOeIAhwJ-gRtJazPBKBIz57qt93VBc96NWtALmeUwb1p/dd.jpg?width=650)
WASIKILIZE UHARIBU MAISHA YAKO
KUNA msemo mmoja mashuhuri sana unasema mswahili atakunyima kila kitu, lakini si maneno, ambao hapa tunaweza kuutafsiri kama umbeya. Yes, waswahili kwa umbeya hawajambo, wanazungumza mambo hadi mwenyewe unashangaa, yaani wanakufahamu kuliko unavyojifahamu mwenyewe, hata kama mmefahamiana muda mfupi tu uliopita. Siyo jambo baya kwa sababu ndiyo utamaduni tuliorithi kutoka kwa vizazi vilivyotangulia na kadiri dunia inavyobadilika,...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Hatua za kuchagua fani ya maisha yako
Uzoefu unaonyesha kuchagua fani limekuwa jambo gumu kwa watu wengi, hususan wanafunzi waliopo shuleni na vyuoni. Makala haya, yakidurusu rejea mbalimbali, yanajaribu kuwasaidia wanafunzi kujua njia bora wanazoweza kutumia kujua ndoto ya maisha yako kitaaluma.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania