Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mafanikio ya Mapinduzi Zanzibar

MAPINDUZI ya Zanzibar jana yalitimiza miaka 50, huku Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein, akielezea mafanikio ya kupigiwa mfano, yaliyotokana na uongozi wa kizalendo katika muda huo.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mafanikio, changamoto za Mapinduzi

KWA mara nyingine Zanzibar inaadhimisha siku yalipofanyika mapinduzi yaliyouondoa utawala wa sultani na serikali yake ya mseto ya vyama vya Zanzibar Nationalist Party (ZNP) na Zanzibar and Pemba People’s Party...

 

11 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja

 Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja ukiwa katika hatua za mwisho katika matengenezo,ambapo Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, aliahidiwa kumalizika hivi karibuni wakati alipofanya ziara leo ya kuona maendeleo ya ujenzi huo.    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,atembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar unaojengwa katika viwanja wa Kisonge Michenzani...

 

10 years ago

BBCSwahili

Zanzibar na miaka 51 ya Mapinduzi

Zanzibar yaadhimisha miaka 51 ya Mapinduzi, yalioung'owa utawala wa Sultani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Baada ya mapinduzi Zanzibar

Miaka 50 baada ya Mapinduzi ya Zanzibar vipi maisha raia wa visiwa hivyo?

 

10 years ago

Mwananchi

Miaka 51 Mapinduzi ya Zanzibar

Chini ya uongozi wa Karume, Zanzibar inatajwa kama nchi iliyokuwa ikipiga hatua nzuri hasa katika maendeleo ya uchumi kuliko nchi zote za Afrika Mashariki.

 

10 years ago

Habarileo

Mafanikio tele sekta ya habari Zanzibar

WIZARA Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo imeeleza kuwa katika Sekta ya Habari mafanikio makubwa yamefikiwa katika utekelezaji wa malengo ya kila siku ambayo yamesaidia kukuza sekta hiyo hapa nchini.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mapinduzi ya Zanzibar na maendeleo ya wananchi

BENKI Kuu ya Tanzania (BoT) imetoa sarafu  ya shilingi elfu hamsini (50,000), kwa ajili ya kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar Gavana wa BoT, Profesa Benno Ndulu, anasema...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumekucha Mapinduzi Cup Zanzibar

MICHUANO ya soka ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2013, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi leo kwa mechi tatu zinazosubiriwa kwa hamu na mashabiki kwenye viwanja vya Amaan Unguja na Gombani, Chakechake,...

 

10 years ago

GPL

VIJANA WAZUNGUMZIA MAPINDUZI YA ZANZIBAR

Msanii Kala Jeremiah akiwa kwenye pozi baada ya kuzungumzia Mapinduzi ya Zanzibar. KIWA leo ni sherehe ya maadhimisho ya miaka 51 ya Mapinduzi ya Zanzibar, baadhi ya vijana katika jiji la Dar es Salaam wametoa maoni yao kuhusu sherehe hizo. Msanii wa muziki Kala Jeremiah ni miongoni mwao ambapo alisema: “Mapinduzi hayo ni sherehe ambayo inatukumbusha jitihada walizofanya viongozi wetu kwa kuikomboa Zanzibar kutoka kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani