Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumekucha Mapinduzi Cup Zanzibar

MICHUANO ya soka ya Kombe la Mapinduzi Zanzibar 2013, inatarajiwa kuanza kutimua vumbi leo kwa mechi tatu zinazosubiriwa kwa hamu na mashabiki kwenye viwanja vya Amaan Unguja na Gombani, Chakechake,...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Mapinduzi Cup yaiweka pabaya Zanzibar CAF

BARAZA la Vyama vya Soka Afrika Mashariki na Kati (CECAFA), limekilima barua kali Chama cha Soka Zanzibar (ZFA), kwa kile kinachodaiwa kuwashirikisha wanachama wake katika michuano ya Kombe la Mapinduzi...

 

5 years ago

Michuzi

ZANZIBAR KUMEKUCHA WAGOMBEA WAANZA KURUDISHA FOMU ZA URAIS

(Mgombea nafasi ya kuteuliliwa urais wa Zanzibar) Mohammed Hija Mohammed (kulia) akimkabidhi fomu za kuomba kuteuliwa kugombea Urais wa Zanzibar, Katibu wa Kamati Maalumu ya Idara ya Oganaizesheni ya CCM Zanzibar, Cassian Gallos Nyimbo, wakati aliporudisha fomu hiyo katika Ofisi za CCM Kisiwandui mjini Unguja, jana. (leo). (Picha na Muhidin Sufiani) (Mgombea nafasi ya kuteuliliwa urais wa Zanzibar) Mohammed Hija Mohammed (kushoto) akisalimiana na Kada wa Chama cha Mapinduzi nje ya Ofisi za...

 

11 years ago

GPL

KCC BINGWA MAPINDUZI CUP

Wachezaji wa KCC, viongozi na mashabiki wao wakishangilia ushindi baada ya kutwaa kombe la Mapinduzi leo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein naye alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo kati ya Simba na KCC.…

 

11 years ago

Tanzania Daima

KCC yabeba Mapinduzi Cup

HESABU za Kocha mpya wa Simba, Zdravco Logalusic, kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kuanza na mguu mzuri raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Bara, jana zilitibuka baada ya...

 

10 years ago

TheCitizen

Dar giants for Mapinduzi Cup

Four Tanzania Mainland Premier League teams, Young Africans, Simba Sports Club, Azam Football Club and Mtibwa Sugar will feature in the Mapinduzi Cup tournament scheduled to kick off tomorrow in Zanzibar.

 

9 years ago

BBCSwahili

Azam,Yanga sare Mapinduzi Cup.

Timu ya Yanga imetoshana nguvu na Azam FC, kufuatia sare ya bao 1-1 katika Mechi ya Kundi B la michuano ya Mapinduzi Cup 2016

 

9 years ago

BBCSwahili

Mapinduzi cup kutimu vumbi Januari 2.

Timu zitakazoshiriki Mashindano ya Mapinduzi Cup, ambayo yanatarajiwa kuanza Januari 2 visiwani Humo.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yachanja mbuga mapinduzi Cup

Yanga ilifanikiwa kutinga hatua ya robo fainali katika michuano ya Mapinduzi

 

11 years ago

Michuzi

Rais wa Zanzibar Dk Ali Shein Atembelea Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar Michezani na Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja

 Uwanja wa mabembea wa Kariakoo Mjini Unguja ukiwa katika hatua za mwisho katika matengenezo,ambapo Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, aliahidiwa kumalizika hivi karibuni wakati alipofanya ziara leo ya kuona maendeleo ya ujenzi huo.    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,atembelea maendeleo ya Ujenzi wa Mnara wa Kumbukumbu ya miaka 50 ya Mapinduzi Zanzibar unaojengwa katika viwanja wa Kisonge Michenzani...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani