Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KCC BINGWA MAPINDUZI CUP

Wachezaji wa KCC, viongozi na mashabiki wao wakishangilia ushindi baada ya kutwaa kombe la Mapinduzi leo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein naye alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo kati ya Simba na KCC.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

KCC yabeba Mapinduzi Cup

HESABU za Kocha mpya wa Simba, Zdravco Logalusic, kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi kuanza na mguu mzuri raundi ya pili ya Ligi Kuu ya Bara, jana zilitibuka baada ya...

 

11 years ago

GPL

HALF TIME FAINALI KOMBE LA MAPINDUZI: SIMBA 0, KCC 1

Timu za Simba na KCC zikisubiri kukaguliwa kabla ya mtanange kuanza kwenye Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KWA sasa ni mapumziko katika mechi ya fainali ya michuano ya Kombe la Mapinduzi kati ya Simba SC na KCC ya Uganda ndani ya Uwanja wa Amaan mjini Unguja. KCC wako mbele kwa bao…

 

10 years ago

TheCitizen

KCC beat Khartoum to grab third place at Kagame Cup

KCC defeated Khartoum 2-1 to finish third at the 2015 CECAFA Kagame Cup at the National Stadium yesterday.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

9 years ago

BBCSwahili

Murray bingwa Davis Cup

Mcheza tenesi bora wa Uingereza Andy Murray amelipa taifa lake ubingwa wa michuano ya tenesi ya Davis Cup

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bingwa Spanest Cup kutinga Ruaha

BINGWA wa mashindano ya soka ya Kupinga Ujangili ‘Spanest Cup’, yaliyofikia hatua ya nusu fainali yakishindanisha timu zinazoizunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha, licha ya kupatiwa kombe, pia atatembelea hifadhi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

El Merreikh bingwa Kagame Cup 2014

TIMU ya El Merreikh ya Sudan, jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati baada ya kuwafunga maafande wa APR ya Rwanda bao 1-0 katika mechi...

 

9 years ago

Bongo5

Andy Murray awa bingwa wa Davis Cup

2EE7DD0E00000578-0-image-a-11_1448830120125

Mcheza tennis bora kutoka Uingereza, Andy Murray amechukua ubingwa wa michuano ya Davis Cup ya mchezaji mmoja mmoja.

2EE8263200000578-0-image-a-8_1448830099611

Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936 baada ya Murray kumshinda Mbelgiji David Goffin

2EE83FAF00000578-0-image-a-10_1448830113261

Murray alimshinda mpinzani wake kwa jumla ya seti 6-3 7-5 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya 3-1. Nyota huyo amejiongezea historia nzuri baada ya kuwa ametwaa mataji ya michuano ya Wimbledon, michuano ya wazi ya US Open na ile ya michezo ya...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani