Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Bingwa Spanest Cup kutinga Ruaha

BINGWA wa mashindano ya soka ya Kupinga Ujangili ‘Spanest Cup’, yaliyofikia hatua ya nusu fainali yakishindanisha timu zinazoizunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha, licha ya kupatiwa kombe, pia atatembelea hifadhi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

MKUU WA UNDP DUNIANI HELEN CLARK ATEMBELEA HIFADHI YA RUAHA,APONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SPANEST

Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP ) Hellen Clark kulia  akizungumza na askari  wanaopambana na majangili  hifadhi ya Taifa ya Ruaha  Iringa jana Mkuu wa UNDP Hellen Clark kulia  akiwa na watendaji wa TANAPA akiwemo mratibuMratibu wa SPANEST Bw  Godwell ole Meing'ataki wa  pili kulia na mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP )Hellen Clark akiwa  katika  gari  lililotolewa na UNDP.
Kwa...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Azam bingwa Kagame Cup

TIMU ya soka Azam FC jana imeandika historia mpya kwenye soka la Ukanda wa Afrika Mashariki na Kati (Cecafa) baada ya kutwaa ubingwa wa michuano ya Kombe la Kagame Cup kwa kuifunga Gor Mahia ya Kenya mabao  2-0 katika mechi ya fainali iliyochezwa Uwanja wa Taifa Dar es Salaam.

Mabao ya Azam yaliwekwa kimiani na washambuliaji John Bocco 'Adebayor' dakika ya 16 na Kipre Tchetche dakika ya 65.

Bao la Bocco lilipatikana baada ya Tchetche kuwakimbiza mabeki wa Gor Mahia ambao walishindwa...

 

11 years ago

GPL

KCC BINGWA MAPINDUZI CUP

Wachezaji wa KCC, viongozi na mashabiki wao wakishangilia ushindi baada ya kutwaa kombe la Mapinduzi leo. Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Dk. Ali Mohammed Shein naye alikuwepo uwanjani kushuhudia mtanange huo kati ya Simba na KCC.…

 

9 years ago

BBCSwahili

Murray bingwa Davis Cup

Mcheza tenesi bora wa Uingereza Andy Murray amelipa taifa lake ubingwa wa michuano ya tenesi ya Davis Cup

 

10 years ago

Tanzania Daima

El Merreikh bingwa Kagame Cup 2014

TIMU ya El Merreikh ya Sudan, jana ilitwaa ubingwa wa Kombe la Klabu Bingwa Afrika Mashariki na Kati baada ya kuwafunga maafande wa APR ya Rwanda bao 1-0 katika mechi...

 

9 years ago

Bongo5

Andy Murray awa bingwa wa Davis Cup

2EE7DD0E00000578-0-image-a-11_1448830120125

Mcheza tennis bora kutoka Uingereza, Andy Murray amechukua ubingwa wa michuano ya Davis Cup ya mchezaji mmoja mmoja.

2EE8263200000578-0-image-a-8_1448830099611

Timu ya Uingereza imetwaa taji hilo kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1936 baada ya Murray kumshinda Mbelgiji David Goffin

2EE83FAF00000578-0-image-a-10_1448830113261

Murray alimshinda mpinzani wake kwa jumla ya seti 6-3 7-5 6-3 na kumfanya Goffin kupoteza kwa jumla ya 3-1. Nyota huyo amejiongezea historia nzuri baada ya kuwa ametwaa mataji ya michuano ya Wimbledon, michuano ya wazi ya US Open na ile ya michezo ya...

 

9 years ago

Michuzi

MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa,James Mbatia akisamiana na wachezaji wa timu ya Wazalendo fc kabla ya kuanza kwa mchezo.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya kikombe kwa mabingwa wa mashindano hayo timu ya Himo fc,iliyochomoza na ushindi dhidi ya Wazalendo fc wa bao 2 kwa 0.

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

 

9 years ago

Vijimambo

JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).

Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa,James Mbatia akisamiana na wachezaji wa timu ya Wazalendo fc kabla ya kuanza kwa mchezo.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akikagua kikosi cha wachezaji wa timu ya Himo fc.
Kikosi cha timu ya Himo fc.Kikosi cha timu ya Wazalendo fc.Heka heka zikiendelea...

 

11 years ago

Michuzi

KAGASHEKI CUP 2014: BILELE 1 vs RWAMISHENYE 3, BINGWA MTETEZI AANZA VIBAYA!! ACHAPWA NA WANA BODABODA RWAMISHENYE FC!

Hapa hukatizi ndugu yangu!Wachezaji wa Timu ya Rwamishenye wakicheza muziki baada ya kusawazishaMashabiki ndio usiseme...walijaa uwanjani KaitabaMashabiki kibao. Kwa picha zaidi BOFYA HAPA

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani