Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MKUU WA UNDP DUNIANI HELEN CLARK ATEMBELEA HIFADHI YA RUAHA,APONGEZA USIMAMIZI MZURI WA MRADI WA SPANEST

Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP ) Hellen Clark kulia  akizungumza na askari  wanaopambana na majangili  hifadhi ya Taifa ya Ruaha  Iringa jana Mkuu wa UNDP Hellen Clark kulia  akiwa na watendaji wa TANAPA akiwemo mratibuMratibu wa SPANEST Bw  Godwell ole Meing'ataki wa  pili kulia na mkurugenzi wa TANAPA Allan Kijazi Mkuu wa shirika la mpango la  Maendeleo  la umoja  wa  Mataifa (UNDP )Hellen Clark akiwa  katika  gari  lililotolewa na UNDP.
Kwa...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Michuzi

Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark atembelea Bungeni Dodoma

 Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark (kushoto) akikaribishwa na Spika wa Bunge Mhe.Anne Makinda mjini Dodoma baada ya kukutana na chama cha wabunge wanawake katika ukumbi wa Spika.  Mkuu wa Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia Maendeleo UNDP Mhe.Hellen Clark akisaini kitabu cha wageni  Mhe.Hellen Clark (katikati) akizungumza na chama cha wabunge wanawake,kushoto kwake ni mwakilishi wa UNDP hapa nchini Ndugu Philippe Poinsot na...

 

11 years ago

Michuzi

JK AKUTANA NA MKUU WA UNDP BIBI HELLEN CLARK

  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na  na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark na ujumbe wake aliyemtembelea leo Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam

 

11 years ago

Michuzi

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI

SSRA YAPONGEZWA KWA USIMAMIZI MZURI WA SEKTA YA MIFUKO YA HIFADHI YA JAMII NCHINI Ms. Sarah  Kibonde Msika, mkuu  wa mawasiliano  uhamasishaji  wa  mamlaka  ya usimamizi  na udhibiti  wa sekta  ya Hifadhi ya  jamii (SSRA) akizungumza na  wanahabari  leo mjini Iringa  Meneja wa NSSF  mkoa  wa Iringa Bw Marko Magheke akihojiwa na wanahabari  kuhusu warsha hiyo mjini Iringa leo  Washiriki  wa  warsha  ya  NSSRA  wakiwa katika  ukumbi wa  mikutano wa VETA mjini Iringa leo. Kwa picha...

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete akutana na Mkuu wa UNDP Bibi Hellen Clark Ikulu Jijini Dar

undp1

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiwa katika mazungumzo na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.

undp2

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza baada ya  mazungumzo Mkuu wa Shirika la Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) Bibi Hellen Clark aliyemtembelea jana Mei 13, 2014 Ikulu jijini Dar es salaam.

undp3

Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete katika picha ya ukumbusho na  na Mkuu wa Shirika la Maendeleo la...

 

11 years ago

Speech As Guest Of Honour At Conference On Stopping ...

Tanzania: Helen Clark


IPPmedia
Tanzania: Helen Clark - Speech As Guest of Honour At Conference On Stopping ...
AllAfrica.com
I thank the Government of the United Republic of Tanzania for hosting this important conference addressing the elephant poaching crisis in this country and the illicit trade in wildlife products. UNDP is proud to be a partner of Tanzania's efforts to turn the tide ...
PM: We are determined to stay the course in anti-poaching warDaily News
Poaching could wipe out Tanzanian elephants in 7...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Bingwa Spanest Cup kutinga Ruaha

BINGWA wa mashindano ya soka ya Kupinga Ujangili ‘Spanest Cup’, yaliyofikia hatua ya nusu fainali yakishindanisha timu zinazoizunguka hifadhi ya taifa ya Ruaha, licha ya kupatiwa kombe, pia atatembelea hifadhi...

 

11 years ago

Michuzi

UNDP HEAD VISIT RUAHA NATIONAL PARK

 Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP stressing a point to Mr. Allan Kijazi, Director General of TANAPA when she visited Ruaha National Park yesterday.  Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP admiring a rarely seen Pangolin at Ruaha National Park.  Ms. Helen Clark (right), Administrator, UNDP poses in a picture with the plant operators of the grader, which was donated by UNDP to Ruaha National Park through a SPANEST Project.  Ms. Helen Clark (right), Administrator,...

 

11 years ago

Dewji Blog

Uwepo wa wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu ni vema kwa Bunge na Tanzania, asema Hellen Clark wa UNDP

hi-res-HC

Kiongozi wa UNDP, na Waziri Mkuu wa zamani wa New Zealand, Helen Clark(pichani), amewapongeza viongozi wa vyama vya siasa Tanzania kwa dhamira yao ya kuwasimamisha wanawake zaidi, vijana na watu wenye ulemavu kama wagombea kwa ajili ya uchaguzi mkuu mwaka 2015. Alitoa pongezi hizo wakati wa mkutano wake na Spika wa Bunge, Mhe. Anne Makinda, na wabunge wanawake katika mji mkuu wa kisiasa wa Dodoma leo.

Kiongozi huyo wa UNDP amekutana na wabunge wanawake wa Tanzania huko Dodoma, akiwemo...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Ujangili wapungua Hifadhi ya Ruaha

UJANGILI katika Hifadhi ya Taifa Ruaha umepungua kutokana na operesheni mbalimbali zilizofanyika katika hifadhi hiyo. Mhifadhi Mkuu wa Ruaha, Dk. Chris Timbuka, aliwaambia waandishi wa habari waliotembelea hifadhi hiyo jana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani